MIDOMO YETU INAHARIBU SOKA LETU.

MIDOMO YETU INAHARIBU SOKA LETU.

Soka Letu Linaharibiwa na Midomo yetu Yaani Sare jana Kuna watu wanasema Eti kikosi kilizidi Mno wachezaji wa simba asee haya Mambo yanatuharibia Soka Letu ndio maana Makocha wetu wazawa wanaogopa hata kuomba kazi kwa ajili ya Midomo yetu iliyojaa usimba na Yanga.

Jana Afrika kusini kapigwa tatu na Lesotho ila tulipofungwa sisi kila Mtu alimrushia Maneno amunike kutokana na Mchezo ule.

Tunahitaji kuwa na Subri katika kupata mafaniko ila sio kuzidisha Midomo inayowavunja moyo makocha na wachezaji wetu.

Tukianza kusema sana na kulaumu sana hatutafika tutabaki hapa hapa na Mpira wetu wa Kivyetu vyetu.

Jana taratibu tumeona kitu katika timu yetu ya taifa tujipe mda tutafika ila tukianza kulaumu na kusema vibaya hatutafika.

Kilala kheri @taifastars_ @tanfootball @privaldinho @officialchristz

Msimamo wa maderevmashindano ya langalanga maarufu kama Formula 1

Kwenye mashindano ya langalanga maarufu kama Formula 1 yanaendekea huko ujerumani katika michuano German GP

Msimamo wa madereva
:
🇬🇧 Hamilton alama 223
🇫🇮 Bottas alama 184
🇳🇱 Verstappen alama 162
🇩🇪 Vettel alama 141
🇫🇷 Leclerc alama 120
:
Msimamo wa makampuni
🇩🇪 Mercedes alama 407
🇮🇹 Ferrari alama 261
🇦🇹 Redbull alama 217
🇬🇧 McLaren alama 70
🇮🇹 Toro Rosso alama 42

Bayern Munich. Watafuta. saini ya Leroy Sane

Kocha Mkuu wa Klabu ya Bayern Munich, Niko Kovac “ana imani kubwa” mabingwa hao wa Ujerumani watakamilisha makubaliano ya winga wa Manchester City, Leroy Sane, mwenye umri wa miaka 23.
.
– Wakati Akisubiriwa Sane kuamua kujiunga na Bayern Munich au kusalia na Mabingwa hao wa Uingereza..City imemlenga mchezaji wa Real Sociedad mwenye umri wa miaka 22, Mikel Oyarzabal kama mchezaji atakayeichukua nafasi ya Sane na wapo tayari kulipa kitita cha Euro milioni 75 zinazohitajika kwa mujibu wa mkataba wa mchezaji huyo wa kimataifa wa Uhispania ili kuachiliwa..
#transfersUpdates #EPLUpdates
@Sokawaytz_

Design a site like this with WordPress.com
Get started