Rais wa Shirikisho la Soka Nchini Misri @EFA, Fattah El-Sis Amethibitisha kwamba Majukumu ya kuinoa timu yao ya taifa,

OFFICIAL | Rais wa Shirikisho la Soka Nchini Misri @EFA, Fattah El-Sis Amethibitisha kwamba Majukumu ya kuinoa timu yao ya taifa, @Pharaohs, hatopewa tenaa Kocha kutoka Nje ya Nchi yao, yaani asiye mzawa!! Sasa Kikosi Cha timu yao ya taifa kitaongozwa na Kocha mzawa Ambaye hajatangazwa Bado kuchukua Mikoba ya Javier Aguirre!.
#transfersUpdates
@Sokawaytz_

Klabu ya Aston Villa Imethibitisha kumsajili Mlinda lango wa Kimataifa wa England, Tom Heaton kutoka Klabu ya Burnley.

– Klabu ya Aston Villa Imethibitisha kumsajili Mlinda lango wa Kimataifa wa England, Tom Heaton kutoka Klabu ya Burnley.
.
– Kipa huyo mwenye umri wa Miaka 33 Amejiunga na Wageni hao wa Premier league kwa dau la £8m na kuwa ni Mchezaji wa 11 kusajiliwa na Aston Villa msimu huu; Alijiunga Rasmi na Burnley Mwaka 2013 akitokea Bristol City, tangu atue Turf Moor kacheza mechi zaidi ya 200 akiwa na Kocha wake Mkongwe, Sean Dyche!.
#EPLTransfersUpdates #EPLUpdates
@Sokawaytz_

Klabu ya Aston Villa Imethibitisha kumsajili Mlinda lango wa Kimataifa wa England, Tom Heaton kutoka Klabu ya Burnley.

– Klabu ya Aston Villa Imethibitisha kumsajili Mlinda lango wa Kimataifa wa England, Tom Heaton kutoka Klabu ya Burnley.
.
– Kipa huyo mwenye umri wa Miaka 33 Amejiunga na Wageni hao wa Premier league kwa dau la £8m na kuwa ni Mchezaji wa 11 kusajiliwa na Aston Villa msimu huu; Alijiunga Rasmi na Burnley Mwaka 2013 akitokea Bristol City, tangu atue Turf Moor kacheza mechi zaidi ya 200 akiwa na Kocha wake Mkongwe, Sean Dyche!.
#EPLTransfersUpdates #EPLUpdates
@Sokawaytz_

Design a site like this with WordPress.com
Get started