

– Klabu ya Sao Paulo Imethibitisha Kukamilisha Usajili wa Beki wa zamani wa Paris Saint-Germain, Juventus na FC Barcelona, Dani Alves.
.
– Alves Amesaini Mkataba Mpaka Mwaka Disemba 2022 kuwatumikia Miamba hao kutoka Nchini kwao Brazil… Akiwa na Umri wa Miaka 36, Alves anarejea kucheza Soka Nchini Brazil Baada ya Miaka 17 kupita, kwa Mara ya kwanza alienda kucheza Soka Ulaya 2002 akitua Sevilla kutokea Klabu ya Bahia, Kisha FC Barcelona, Juventus na PSG ambako alimaliza Mkataba wake wa Miaka Miwili Kisha kutimkia huko Brazil!!.
.
– Kapewa kutumia Jezi Namba 10 akiwa na Klabu yake mpya huko Kwao Brazil 😄😊!..
👉 Dani Alves Akicheza Barani Ulaya:
🇪🇸 Sevilla: 2002–2008
🇪🇸 Barcelona: 2008-2016
🇮🇹 Juventus: 2016-2017
🇫🇷 Paris Saint-Germain: 2017-2019
Mataji: 36 😱 🏆
#TransferNewsUpdates
@Sokawaytz_

















