Waandishi wa habari…wakiamsha mpaka nairobi kenya

– Waandishi wa habari za Michezo kutoka vyombo mbalimbali nchini wakiwa Wilayani Longido Jijini Arusha wakiwa kuelekea nchini Kenya, kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa kuwania kucheza fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza ligi za ndani CHAN kati ya Taifa Stars dhidi ya Kenya.
.

– Waandishi hao wamewasili Jijini Arusha usiku wa kuamkia leo na leo asubuhi walitembelewa na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro ambae aliwaandalia chai kabla ya kuendelea na safari yao.
Katika mchezo huo utakaofanyika August 4 Jijini Nairobi, Stars inahitaji sare yoyote au ushindi wowote ili iweze kufuzu katika hatua inayofuata.
#TunakanyagaMpakaCHAN.

Vituo vya kukatia tiketi …yanga day

Unachotakiwa kufanya wewe kwa sasa ni kuwahi tiketi yako kwa wakala wa #Selcom aliye karibu yako au katika vituo vifuatavyo:

1. Maduka yote ya GSM
. 2. TFF .
3. Yanga Makao Makuu .
4. Uwanja wa Taifa .
5. Kituo cha Mabasi Ubungo .
6. Food Point- Namanga
. 7. Robby One Fashion Kinondoni .
8. Vituo vyote vya Mafuta vya BIG BON

9. Mac Juice – Sinza

10. Clouds Fm – Mikocheni

11. EFM – Kawe

12. Fourty Fourty Tabata

13. Hussein Pamba Kali – Tegeta

14. Fetylicious Street Look – City Mall

15. Born To Shine- Mwenge

16. Dar Live – Mbagala
.
#FungaKaziKusanyaKijiji #WikiYaMwananchi.

Kumekuchaa….wiki ya mwananchi imepamba moto

Kumekuchaa, Hayawi hayawi..Sasa yamekuwa:

Mwananchi popote ulipo unaweza kupata tiketi yako au kumkatia tiketi mtu yeyote umpendaye katika vituo tajwa hapo juu ndani ya jiji la Dar Es Salaam.
Pia kwa wale wote walio nje ya Dar Es Salaam (Au wako DSM lakini katika vituo vilivyotajwa hawaoni kilicho cha jirani kwao) wanaweza kupata tiketi katika maeneo yao kupitia wakala wa Selcom.
Mwananchi chukua tiketi yako sasa ili kuepuka usumbufu wa kutafuta tiketi dakika za mwisho.

Tukutane Uwanja wa Taifa Saa 3 asubuhi tarehe 04.08.2019

#WikiYaMwananchi #FungaKaziKusanyaKijiji

*TIKETI ZA WIKI YA MWANANCHI ZINAPATIKANA POPOTE TANZANIA KWA KUPITIA MAWAKALA WA SELCOM*

*

TIKETI ZA WIKI YA MWANANCHI ZINAPATIKANA POPOTE TANZANIA KWA KUPITIA MAWAKALA WA SELCOM*

Ndugu wapenzi, Washabiki na Wanachama wa Yanga tiketi za Wiki ya Mwananchi zinapatikana pote kwa Mawakala wa SELCOM TANZANIA NZIMA. *MAELEZO YA ZIADA*
1. Wenye card wanunue kwa card
3. Wasio na card wanunue kwa Mawakala wa Selcom popote walipo kutoka kwenye Mashine na sio Mkononi.

4. Tunza tiketi yako sehemu Salaama QR code isifutike USIWEKE SEHEMU YENYE UNYEVU NYEVU
5. Klabuni kuna agent tayari na pale Uwanja wa Uhuru kutakuwa na points za mauzo pia
7. Ulinzi utakuwa wa SUMA JKT NA VYOMBO VINGINE VYA ULINZI NA USALAMA PCCB NK epuka tiketi za kugushi
8. Vyakula na vinywaji vitakuwepo kwa gharama binafsi. *TUKUTANE KWA MKAPA JUMAPILI 04/08/2019 MAPEMAA TUKAWAJAZE* *DEO MUTTA*
*KATIBU WA HAMASA*
*KLABU YA YANGA*

Rasmi. Aish Manula..aondoxhwa kikosini ..tiaga stats

Rasmi Golkipa wa Simba Sc Aish Manula ameondoshwa rasmi katika kikosi cha Timu ya Taifa kitakacho cheza na Kenya ktk raundi ya Pili kufuzi CHAN baada ya majeraha kuendelea kumsumbua.

Mbadala wake ameitwa aliyekuwa golkipa wa Lipuli Fc Mohammed Yusuph ambae amesajiliwa na Polisi Tanzania msimu huu. #full_sokatzupdates

Manchester City kumuongezea mkataba mpya mlinzi wake raia wa Argentina Nicolas Otamendi ili kuendelea

Baada ya kuondoka kwa nahodha wake Vincent Kompany, Klabu ya Manchester City inajipanga kumuongezea mkataba mpya wa muda mrefu mlinzi wake raia wa Argentina Nicolas Otamendi ili kuendelea kukipiga klabuni hapo. (The Sun)

Manchester City..kumuacha Leroy Sane.kwenda Fc Bayern Munich

Klabu ya Manchester City ipo tayari kumuachia mchezaji wake Leroy Sane (23) kwenda Fc Bayern Munich endapo klabu hiyo itaweka dau mezani lisilopungua £137m. (Pauni milioni 137)
.
.
Imeelezwa nyota huyo hafurahishwi na maisha ya Etihad na kiu yake kubwa ni kutua kwa miamba ya Bundesliga

Hatua ya 16 Bora ya @libertadores imemalizika

👉 Hatua ya 16 Bora ya @libertadores imemalizika, Na Sasa hatua ya Robo fainali INAFUATA!.. Wahuni wa Argentina, @riverplate na @bocajrsoficial huenda wakakutana, walicheza fainali mwaka Jana 😊😊🙌.
.
– Timu nne kutoka Brazil 🇧🇷 zitacheza robo fainali ya CONMEBOL Libertadores mwaka huu 2019 (Gremio, Palmeiras, Flamengo na Internacional) kitu ambacho hakijafanyika kwenye mashindano tangu mwaka 2012 zilipofuzu Vasco da Gama, Fluminense, Santos na Corinthians!.
:
💯🇪🇪 @Gremio imekuwa Klabu ya Kwanza kutoka Nchini Brazil Kufikisha mechi 100 za Ushindi Katika Michuano ya #Libertadores!
#Updates
@Sokawaytz_

Design a site like this with WordPress.com
Get started