Willian nawenzake kuongezwa mikataba ndani ya chelsea

Klabu ya Chelsea ipo kwenye hatua za mwisho za mazungumzo na wachezaji wao watatu Willian, Tammy Abraham pamoja na Reece James ili kuwaongezea mikataba yao ya muda mrefu. .
.

Imeelezwa kuwa kocha wa klabu hiyo Frank Lampard amefurahishwa na uwezo wao na ameshauri kuwa waongezewe mikataba yao kabla ya msimu kuanza.

Manchester United..yanasa beki.toka Leicester City!..

OFFICIAL | Manchester United imefikia Makubaliano ya Kumsajili Beki wa Uingereza, Harry Maguire kwa dau la uhamisho wa Rekodi ya Dunia kwa Beki, £80m kutoka Klabu ya Leicester City!..
.

– Baada ya vuta nikuvute za Makubaliano ya Vilabu hivyo, Sasa Rasmi Manchester United inatarajia kuthibitisha Kumsajili Beki huyo anaevunja Rekodi ya Dunia kwa Usajili wa Beki takribani Mwaka Mmoja tangu Rekodi hiyo kuwekwa na Liverpool walipomsajili beki wa Kimataifa wa Uholanzi, Virjil Van Dijk kwa £75m..
#TransferNewsUpdates
@Sokawaytz_

Winga wa Kimataifa wa Brazil, Malco. Asajiliwa Klabu ya Zenit St Petersburgm

OFFICIAL | Winga wa Kimataifa wa Brazil, Malcom amekamilisha Usajili wake wa kujiunga na Mabingwa wa Urusi, Klabu ya Zenit St Petersburg kwa Mkataba mpaka 2024… Zenit wamelipa €40m Kwenda Barça Kama dau la uhamisho wa Mchezaji huyo..
#Zenit #Barcelona #transfers

Newcastle United Imethibitisha Kukamilisha Uhamisho wa Winga, Allan Saint-Maximin

DONE DEAL: Klabu ya Newcastle United Imethibitisha Kukamilisha Uhamisho wa Winga, Allan Saint-Maximin kutoka Klabu ya OGC Nice ya Ufaransa… Nyota huyo wa timu ya taifa ya Ufaransa U21 Amesaini Mkataba wa Miaka Sita kuitumikia Klabu hiyo kwa ada ya uhamisho £16m.
#EPLTransfersUpdates
@Sokawaytz_

– Everton Imethibitisha Kukamilisha Uhamisho wa kiungo. Jean-Philippe Gbamin

– Everton Imethibitisha Kukamilisha Uhamisho wa kiungo kutoka Klabu ya Mainz ya Ujerumani, Jean-Philippe Gbamin Kwa mkataba wa miaka mitano kwa ada ya uhamisho £25m.
.

– Kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast, 23, anachukua nafasi ya Idrissa Gueye, ambaye amejiunga na Paris St-Germain kwa pauni milioni 30… Gbamin, kucheza jumla ya mechi 11 na timu yake ya taifa zikiwemo game tatu Katika Michuano ya AFCON 2019..
#EPLTransfersUpdates
@Sokawaytz_

3/8/2019 Young Africans Sports Club itafanya mkutano na waandishi wa habari

#Repost from @yangasc.
Leo jumamosi tarehe 3/8/2019 Young Africans Sports Club itafanya mkutano na waandishi wa habari Makao makuu ya klabu, mkutano utaanza saa 5:00 asubuhi
Masuala mbalimbali ikiwemo namna ya kuingia uwanjani kwa wageni waalikwa, wana habari na mengine mengi yataanishwa..!

Design a site like this with WordPress.com
Get started