Ratiba ya Raundi ya Mwisho ya Kufuzu kwa Michuano ya CHAN

👉 Ratiba ya Raundi ya Mwisho ya Kufuzu kwa Michuano ya CHAN ambayo itafanyika mwaka 2020 huko Cameroon!… Mkondo wa kwanza kupigwa Septemba 20-22 na Mkondo wa Pili kupigwa Oktoba 18-20 Mwaka huu!. Algeria v Morocco

Tunisia v Libya

Mali v Mauritania

Senegal v Guinea

Togo v Nigeria

Niger v Ivory Coast

Ghana v Burkina Faso

CAR v DR Congo

Equatorial Guinea v Congo Brazzaville
Burundi v Uganda

Ethiopia v Rwanda

Tanzania v Sudan

eSwatini v Zambia

Madagascar v Namibia

Zimbabwe v Lesotho
#CHAN #CHAN2020Cameroon🇨🇲 #CHAN2020
@Sokawaytz_

Okwi ameaga Rasmi ndani ya Klabu ya Simba SC kwa Mashabiki na Benchi la ufundi la Klabu hiyo

:
#Repost @emmanuelokwi
Mashabiki Wa @simbasctanzania,

I would like to thank you all for the great memories that we’ve had for many years, many times. You’ve always treated me as your own. I truly appreciate and would like you to know that I feel your love.
Many thanks as well to the technical team and management of the club that worked tirelessly to see us achieve many titles.

Even as I head to @itthadalexsc, I will always have Simba at heart. #nguvumoja

Mohamed Dewji. Kuanzisha simba mpya

– Mwekezaji wa Simba SC, Mohamed Dewji amesema watapeleka maombi yao Shirikisho la Soka nchini Tanzania @tanfootball, ili kununua timu ya daraja la kwanza.
.

– Timu hiyo itakuwa na wachezaji wanaotoka timu yao ya vijana ya Simba na endapo watakubaliwa watakuwa na timu itakayoitwa Simba lakini ikishiriki Ligi Daraja la Kwanza…. Mo Dewji amesema endapo timu hiyo itafanikiwa kupanda daraja hawataipandisha Ligi Kuu kwank sheria haitawaruhusu kuwa na timu mbili ligi kuu zenye jina moja..
#Updates #SimbaSC

Manchester United, yaweka rekodi mpya katika usajili

– Manchester United, Msimu wa Mwaka huu 2019 imesajili Wachezaji Watatu Wa-British kwa Dirisha Moja la uhamisho wa Wachezaji, (Juni Mpaka Agosti) kwa Mara ya Kwanza Tangu wafanye Mara ya mwisho mwaka Msimu wa Mwaka 1989.
:

✍🏻 Usajili wa Mwaka wa 1989:
– Neil Webb 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 (£1.5m kutoka Nottingham Forest)
– Mike Phelan 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿(£750k kutoka Norwich City)
– Gary Pallister 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 (£2.3m kutoka Middlesbrough)
:
✍🏻 Usajili wa Msimu wa Mwaka 2019:.
– Aaron Wan-Bissaka 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 (£50m kutoka Crystal Palace).
– Daniel James 🏴󠁧󠁢󠁷󠁬󠁳󠁿 (£15m kutoka Swansea City).
– Harry Maguire 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 (£80m kutoka Leicester City).
#EPLTransfersUpdates #EPLUpdates #manchesterunited #MUFC
@Sokawaytz_

Design a site like this with WordPress.com
Get started