
Kwa mujibu wa Skyspots Italy, Klabu ya Juventus imekubali dau la €70m kutoka kwa Tottenham ili kumuachia nyota wake Paul Dybala


Kwa mujibu wa Skyspots Italy, Klabu ya Juventus imekubali dau la €70m kutoka kwa Tottenham ili kumuachia nyota wake Paul Dybala

–

Kuna Kila Dalili kwamba FC Barcelona ipo Kwenye mipango ya kumtoa kwa mkopo Kiungo wao wa Kimataifa wa Brazil, Philippe Coutinho Katika Dirisha hili la uhamisho lililobakisha Siku chache tu kabla ya kufungwa!.
.

– Kwa mujibu wa ripoti, ni Vita ya Vilabu viwili kutoka London, Arsenal na Tottenham wapo Kwenye kinyang’anyiro Cha kumtaka Nyota huyo wa zamani ndani ya Premier league akiwika na Majogoo wa Anfield, @liverpoolfc.
#EPLTransfersUpdates #EPLUpdates
@Sokawaytz_

– Rasmi, Hassan Oktay amejiuzulu rasmi kama Kocha mkuu wa Mabingwa wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) Klabu ya GOR Mahia.
.
– Mkufunzi huyo wa Kituruki ameomba Klabu hiyo imwachilie katika jukumu lake hilo baada ya kuomba kuondoka… Oktay aliteuliwa kuwa Kocha Mkuu wa GOR Mahia mnamo Disemba 2018 akichukua Mikoba ya Dylan Kerr, ambaye pia alijiuzulu wadhifa wake baada ya msimu mmoja tu.
#TransferNewsUpdate
@Sokawaytz_


#Repost @tunuhassan57
Michuano ya COSAFA kwa vijana inaendelea nchini Afrika kusini na leo mchezo kati ya Zambia na Tanzania ni wa kukamilisha makundi katika kundi letu B ikiwa michezo miwili inapigwa leo.
:
#cosafau20
#portelizabethsouthafrica


wachezaji wa timu ya yanga wakiwa njiani kuelekea zanzibar katika kambi ya kujiandaa na mashindano ya klabu bingwa barani africa yanayotarajiea kuanza mwezi huu…




Kikosi cha Yanga Sc kimeanza safari ya kwenda Zanzibar kwaajili ya kuweka kambi ya muda mfupi kuelek
ea michuano ya Klabu Bingwa Afrika. 📸 @33_metacha x @s
[ ⚽️ Vitalis Mayanga, ⚽️ Serge Nigues | ⚽️ Julius Masaba ]
:
– KMC Wanaitandika Kariobangi Sharks kutoka Kenya ambao wanapoteza mechi katika ardhi ya Tanzania kwa mara ya Kwanza… Mechi hiyo ya Kirafiki imepigwa Asubuhi hii ndani ya Dimba la Uhuru!..
#FriendMatch #kmcfc #kariobangisharks


– Crystal Palace imeshinda mbio za kumsajili Aliyekuwa Beki na nahodha wa zamani wa Chelsea, Gary Cahill… Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 amekuwa Hana timu tangu atemwe na Chelsea wakati mkataba wake ulipomalizika mwishoni mwa mwezi wa Juni.
.
– Cahill hapo awali alikuwa akihusishwa na kuhamia Burnley, lakini kwasababu, James Tarkowski ameamua kubaki viunga hivyo vya Turf Moor, shauku ya klabu ya Lancashire kumsajili Cahill ikatoka wakaamua waachane na mpango huo… Sasa Crystal Palace imemnasa Muingereza huyo!.
.
– Cahill alicheza mechi mbili tu za Ligi Kuu kwa Chelsea msimu uliopita… kwa ujumla alikaa misimu saba na nusu huko Stamford Bridge, akiwa kama mchezaji muhimu ndani Kikosi Cha The Blues, akitwaa mataji mara mbili ya Ligi Kuu, Europa league na Ligi ya Mabingwa Ulaya Mara moja!..
#TransferNewsUpdate #EPLTransfersUpdates
@Sokawaytz_

✍🏻 Klabu ya Burnley imeungana na Derby Country Katika mbio za kuwania saini ya Nahodha wa zamani wa England, Wayne Rooney mwenye umri wa Miaka 33.
.
✍🏻 Burnley inamtaka Rooney kama Mchezaji Ambaye kwasasa anakipiga Ligi kuu Nchini Marekani Katika Klabu ya DC United huku Derby Country ikimuwinda Rooney kuja kuwa Kocha Mchezaji ndani ya kikosi hicho huko Championship!..
.
✍🏻 Wakati huo huo, yeye mwenyewe Rooney hajaweka Siri juu ya Mipango yake kwamba anataka kuwa Kocha, na Derby inatumia fursa hiyo kumshawishi Legendary huyo wa Manchester United.. Mpaka Sasa hakuna Makubaliano rasmi zaidi ya kuwepo kwa Mazungumzo ya Awali Kuendelea!.
#EPLUpdates #burnley #dcunited #derbycounty
@Sokawaytz_