Meneja wa Newcastle Steve Bruce anakiri kuwa amekuwa akihangaikia juu ya hatima ya ndugu wawili Sean na Matty Longstaff

Meneja wa Newcastle Steve Bruce anakiri kuwa amekuwa akihangaikia juu ya hatima ya ndugu wawili Sean na Matty Longstaff,
..
.
Sean Longstaff, ambaye alikuwa akilengwa na Manchester United katika uhamisho majira ya joto, mkataba wake umesalia miaka miwili na nusu wakati mdogo wake Matty yuko nje ya mkataba mwishoni mwa msimu.

MAJANGA TENA. KWA DEMBELE

.
.
Winga wa klabu ya Fc Barcelona mfaransa Ousmane Dembele atakuwa nje takribani siku 15 baada ya kuumia tena mazoezini akiwa na kikosi cha timu yake
.
.
Dembele alikuwa amerejea mazoezi mara baada ya kukosekana dimbani kwa muda mrefu akiuguza majeraha yake ya mguu wa kulia
.
.
#sokaonlineupdates

Klabu mbili ambazo ni Horoya Athletic ya Guinea na Zanaco ya Zambia zimeweka rekodi ya kutinga hatua ya robo fainali

Klabu

mbili ambazo ni Horoya Athletic ya Guinea na Zanaco ya Zambia zimeweka rekodi ya kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika bila kupoteza mchezo wowote kwenye hatua ya makundi

#dailysporttz

Himidi Mao aendeleza umwamba na timu yake. Misri

Klabu ya ENPPI inayoshiriki ligi kuu ya Misri anayochezea kiungo Himid Mao Mkami leo imepata ushindi wa goli 2-1 wakiwa kwenye uwanja wa nyumbani dhidi ya Al Arab

Baada ya kupata ushindi huu ENPPL wanapanda kwenye msimamo wa ligi kuu ya Misri mpaka nafasi ya 6 baada ya kucheza michezo 15 na kufanikiwa kukusanya alama 23

Magoli ya ENPPI leo yamefungwa na wachezaji wao Mahmoud pamoja na Sherif

#dailysporttz

Hawa Liverpool Wapewe Kombe Lao

#JichoLaMwewe • Hawa Liverpool Wapewe Kombe Lao
.
Chukua alama za timu A na B uzijumlishe, ili upate alama walizonazo Liverpool 🤔
.
✍️ Liverpool = 73 pts
✍️ Chelsea + Arsenal = 72 pts
✍️ Man UTD + SPURS = 72 pts
✍️ Leicester + Watford = 72 pts
✍️ Wolves + Sheffield = 71 pts
✍️ Man City + Norwich = 69 pts
.
#bakinasisi__
#NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo

Design a site like this with WordPress.com
Get started