
FT| KRC Genk 3-1 Oostende
[ Ronald Vargas 16′ (OG), Paul Onuachu 44′, Sander Berge 90′ | Idrissa Sylla ’23 ]
….
✍️ Nahodha wa Timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta Jana Wakati Akiitumikia Klabu yake ya KRC Genk ikishinda mchezo wao wa Ligi alivaa kitambaa cha Unahodha kuiongoza Genk kwenye mchezo huo dhidi ya Oostende… Sasa Mabingwa hao Watetezi wanafikisha Pointi 13 katika mechi Nane wakiwa Nafasi ya Saba..
#Updates #krcgenk
@harunlugoyah










#VodacomPremierLeague








