
– Wachezaji wa Klabu ya Nkana FC ya Zambia 🇿🇲 wakijificha kukwepa kupigwa mawe pamoja na Chupa za Bia kutoka kwa Mashabiki wao waliokasirishwa na kitendo cha timu hiyo kufungwa bao 1-0 na klabu ya Forest Rangers katika mchezo wa Ligi Kuu Nchini Humo..
…
– Huu ni Mchezo wa Pili kupoteza kwa Nkana msimu huu katika Game zao Nne na mbili nyingine wakiibuka na Ushindi wakikamata nafasi ya nane katika Msimamo wa Ligi yao..
#NkanaFC #ZambianSuperLeague
@Harunlugoyah













#VodacomPrimierLeague