
Afisa Mhamasishaji wa klabu ya @yangasc Antonio Nugaz baada ya sare ya mabao 3-3 dhidi ya Polisi Tanzania amesema kuwa klabu yake jana imecheza vyema licha ya kupata point moja sio mwanzo mbaya kwa klabu yake kwani wamepata alama moja
:
Nugaz amesema kuwa kwa sasa kunawachezaji wanazidi kuonyesha viwango vyao hivyo wanaYanga Sc wawape mda wachezaji wao kwani bado hawana muunganiko mzuri.
:
Nugaz amesema mashabiki wake waache kuwabeza wachezaji wa kikosi hicho kwani anaamini watakuja kubadilika na kuwa wachezaji bora kabisa.
:
Nugaz amesema kwa sasa wanajiandaa na Mchezo ujao dhidi ya Coastal Union utakaochezwa Jumapili hii katika Uwanja wa uhuru.
#Updates #YangaSc #sokaplaceupdates












#UEFAEuropaLeague @sokaplace_






– Orodha ya wachezaji Wanne ambao wametangazwa na UEFA kuwania tuzo ya Goli bora la wiki hii kwenye michuano ya Klabu Bingwa Barani Ulaya “UEFA Champions League”.


