Etihad pachungu kwa. Pep Guardiora

#

PremierLeague

FT | Mancity 0-2 Wolves
Traore 80′, 90+4’⚽

Wolves inapata ushindi Etihad dhidi ya mabingwa watetezi Manchester City, Ushindi huo unamaanisha Liverpool sasa wanaongoza kwa tofauti ya alama 8 kileleni mwa EPL.

Manchester City ya Pep Guardiora wakiwa Etihad wanapokea kipigo kwenye Ligi pasipo kupata goli lolote, mara ya mwisho ilikuwa Machi 2016 wakifugwa na Man Utd (0-1) wakati huo kocha alikuwa Manuel Pellegrini

Barcelona vs Sevilla nani kuondoka na pointi tatu

#LaLigaSantander
⚽ Barcelona vs Sevilla
🏟 Camp Nou
⏰ 4:00 usiku

Sevilla wameshinda mara moja tu dhidi ya Barcelona katika michezo 24 iliyopita ya La Liga (Sare 5 Kafugwa ×18)-ushindi huo ulipatikana Oktoba2015 -Sevilla akishinda 2-1

Lionel Messi amefunga mabao 36 dhidi ya Sevilla katika mashindano yote. 21 ya magoli hayo 36 amefunga kwenye Uwanja wa Camp Nou

Je Messi ataamua matokeo ya mchezo wa leo au Sevilla watabadilisha hali ya hewa pale Camp Nou!!

Kwenye mkeka wako unaouweka @mbet.co.tz unampa nani dhamana? Tembelea http://www.mbet.co.tz au pita kwenye bio yao @mbet.co.tz halafu weka mzigo wako kwa timu itakayokupa mtonyo.

#Mbet #NyumbaYaMabingwa

Design a site like this with WordPress.com
Get started