Schweinsteiger atangaza.. soka.mwishomi.mwa.msimu huu

πŸ—£ “Wapenzi Mashabiki, wakati sasa umefika na nitamaliza kazi yangu ya sasa mwisho wa msimu huu..

πŸ—£ “Nataka kuwashukuru nyote, timu zangu, Bayern Munich, Manchester United, Chicago Fire na timu ya taifa ya Ujerumani. Zimenifanya kuwa na wakati huu mzuri kwangu, Na kwa kweli, ningependa kumshukuru mke wangu, Ana Ivanovic na familia yangu kwa msaada wao.
….
😒 Bastian Schweinsteiger Amethibitisha kuwa atastaafu soka mwishoni mwa msimu huu!..
🏟 663 Games
πŸ‡©πŸ‡ͺ 121 Caps
⚽️ 104 Goals
🎯 152 Assists
πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ† Bundesliga
πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ† DFB-Pokal
πŸ† World Cup
πŸ† Champions League
πŸ† FA Cup
πŸ† DFB-Ligapokal
πŸ† DFL-Supercup
πŸ™Œ Legend.

Mchezo wa Zamalek SC ya Misri πŸ‡ͺπŸ‡¬ dhidi ya Generation Foot y πŸ‡ΈπŸ‡³. Kupigwa octoba 24

OFFICIAL | Taarifa Rasmi iliyotolewa na Shirikisho la Soka Afrika “CAF” juu ya mchezo wa Marudiano kati ya Wenyeji, Zamalek SC ya Misri πŸ‡ͺπŸ‡¬ dhidi ya Generation Foot ya Senegal πŸ‡ΈπŸ‡³.

– Mchezo huo wa Mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa, mzunguko wa kwanza kati ya timu hizo mbili utachezwa Alhamisi, 24 Oktoba, 2019 na Mshindi wa jumla atafuzu kucheza hatua ya Makundi ambayo yatapangwa kesho Jumatano… Zamalek itachagua uwanja, huku Gharama zote za Generation Foot zitakuwa chini ya CAF πŸ‘πŸ™Œ
#TotalCAFCL #CAFCL
@Harunlugoyah

Mlinda lango wa klabu ya Tottenham, kukosekana mwaka mzima 2019 dimbani

✍🏻 Mlinda lango wa klabu ya Tottenham, Hugo Lloris anatarajia kukosekana mwaka mzima 2019 baada ya kuvunjika kiwiko wakati akiitumikia klabu yake hiyo, lakini haitaji upasuaji, Taarifa ya klabu hiyo ilisema.

✍🏻 Lloris ambaye ni Nahodha wa Spurs na timu ya taifa ya Ufaransa alipata majeraha hayo siku ya Jumamosi, timu yake ikipokea Kipigo cha Magoli 3-0 dhidi ya Brighton, hatarajiwi kufanya mazoezi tena hadi mwaka ujao.

✍🏻 Hugo, Alianguka vibaya wakati aliposhindwa kushikilia mpira uliopigwa na Pascal Gross dakika ya tatu, na Neal Maupay akapiga kichwa mpira aliodaka kisha kuuachilia baada ya kuanguka..
#PremierLeague #Tottenham
@Harunlugoyah

Mataifa ambayo yapo chinii katika viwango vya Ubora wa Soka “FIFA Ranking

Mataifa ambayo yapo chinii katika viwango vya Ubora wa Soka “FIFA Ranking” kwa ukanda wa CAF, hii leo Oktoba 09, yatacheza mechi za Mkondo wa kwanza za Kuwania kupata nafasi ya kufuzu kwenye Makundi ya Jumla yaliyopangwa kuwania kufuzu moja kwa moja kwa Fainali za Mataifa ya Afrika “AFCON 2021” nchini Cameroon πŸ‡¨πŸ‡²!.
πŸ‘‰ Africa Cup of Nations – Qualification
16:00 Mauritius πŸ‡²πŸ‡Ί
Sao Tome and Principe πŸ‡ΈπŸ‡Ή
16:00 South Sudan πŸ‡ΈπŸ‡Έ
Seychelles πŸ‡ΈπŸ‡¨
19:00 Djibouti πŸ‡©πŸ‡―
Gambia πŸ‡¬πŸ‡²
19:00 Liberia πŸ‡±πŸ‡·
Chad πŸ‡ΉπŸ‡©
…..
– Mshindi wa jumla kati ya Liberia au Chad, atafuzu katika Kundi A, lenye mataifa Mengine ambayo ni Mali, Guinea na Namibia.
….
– Mshindi wa jumla kati ya South Sudan au Seychelles, atafuzu katika Kundi B, ambalo lina mataifa ya Burkina Faso, Uganda na Malawi.
….
– Mshindi wa jumla kati ya Mauritius au Sao Tome, atafuzu katika Kundi C, ambalo pia kina mataifa ya Ghana, South Africa na Sudan.
….
– Mshindi wa jumla kati ya Djibouti v Gambia, atafuzu katika Kundi D, ambalo pia kina mataifa ya DR Congo, Gabon na Angola..
#TotalAFCON2021 #AFCON2021Q #AFCONQualifier
@Harunlugoyah

Mataifa ambayo yapo chinii katika viwango vya Ubora wa Soka “FIFA Ranking

Mataifa ambayo yapo chinii katika viwango vya Ubora wa Soka “FIFA Ranking” kwa ukanda wa CAF, hii leo Oktoba 09, yatacheza mechi za Mkondo wa kwanza za Kuwania kupata nafasi ya kufuzu kwenye Makundi ya Jumla yaliyopangwa kuwania kufuzu moja kwa moja kwa Fainali za Mataifa ya Afrika “AFCON 2021” nchini Cameroon πŸ‡¨πŸ‡²!.
πŸ‘‰ Africa Cup of Nations – Qualification
16:00 Mauritius πŸ‡²πŸ‡Ί
Sao Tome and Principe πŸ‡ΈπŸ‡Ή
16:00 South Sudan πŸ‡ΈπŸ‡Έ
Seychelles πŸ‡ΈπŸ‡¨
19:00 Djibouti πŸ‡©πŸ‡―
Gambia πŸ‡¬πŸ‡²
19:00 Liberia πŸ‡±πŸ‡·
Chad πŸ‡ΉπŸ‡©
…..
– Mshindi wa jumla kati ya Liberia au Chad, atafuzu katika Kundi A, lenye mataifa Mengine ambayo ni Mali, Guinea na Namibia.
….
– Mshindi wa jumla kati ya South Sudan au Seychelles, atafuzu katika Kundi B, ambalo lina mataifa ya Burkina Faso, Uganda na Malawi.
….
– Mshindi wa jumla kati ya Mauritius au Sao Tome, atafuzu katika Kundi C, ambalo pia kina mataifa ya Ghana, South Africa na Sudan.
….
– Mshindi wa jumla kati ya Djibouti v Gambia, atafuzu katika Kundi D, ambalo pia kina mataifa ya DR Congo, Gabon na Angola..
#TotalAFCON2021 #AFCON2021Q #AFCONQualifier
@Harunlugoyah

Namba za Namba za Messi kwenye upigaji Freekicks akiwa Barcelona!

Namba za Namba za Messi kwenye upigaji Freekicks akiwa Barcelona!
2008-09 β€’1 ⚽
2009-10 β€’2 ⚽
2010-11 β€’1 ⚽
2011-12 β€’3 ⚽
2012-13 β€’4 ⚽
2013-14 β€’3 ⚽
2014-15 β€’2 ⚽
2015-16 β€’7 ⚽
2016-17 β€’4 ⚽
2017-18 β€’7 ⚽
2018-19 β€’8 ⚽
2019-20 β€’1 ⚽
Jumla 43 ⚽

Messi amefikisha jumla ya goli 48 za freekick (Barcelona 43&Argentina 5) na sasa amempita fundi mwingine wa mipira ya Free-kick, Andreas Pirlo mwenye goli 47 ⚽
β€’
*Messi vs Ronaldo (Free-kicks)
Ronaldo 54 ⚽
Messi 48 ⚽
β€’
Ronaldo bado yuko juu ya Messi kwenye mabao mengi ya freekicks japo inaonekana Messi anamfukuzia Ronaldo kwa kasi kubwa. Kwani mpaka mwishoni mwa msimu wa 2016-17 Cristiano alikuwa na goli 51, Messi, 33.
β€’
Kwa hivyo, katika misimu miwili iliyopita inaonyesha Messi katawala zaidi kwa kufunga goli 15 dhidi ya 2 za Ronaldo.

Mpaka sasa anayeshikilia rekodi ya mabao mengi ya Freekicks ni Juninho Pernambucano, goli 77βš½πŸ™Œ

Alliance Fc yaondoka leo kuelekea nchini Kenya tayari kwa maandalizi ya VPL

Timu ya Alliance Fc imeondoka leo jijini Mwanza kuelekea nchini Kenya tayari kwa maandalizi ya michezo yetu ijayo ya VPL.

Uongozi wa Alliance leo umeongea na waandishi wa habari katika ofisi za benki ya @accessbank_tz tawi la mwanza na kueleza kuwa timu inaenda nchini Kenya kwa mwaliko wa timu ya @official_gmfc na wenyeji wao hao watawatafutia michezo mingine ya kirafiki wakiwa nchini humo.

Michezo ijayo ya Alliance Fc ni dhidi ya @yangasc @ruvushootingfootballltd @tzprisonsscofficial na @officialmbeyacityfc katika michezo hiyo ni mchezo wa @yangasc pekee utachezwa katika uwanja wa Ccm Kirumba huku michezo mingine yote ikichezwa katika uwanja wa Nyamagana.

Wakwanza kushoto ni afisa habari wa timu Jackson Luka Mwafulango ,wa katikati ni mwenyekiti wa mashindano wa Alliance Fc Yusuph Joseph Budodi na wamwisho ni Meneja wa @accessbank_tz tawi la Mwanza Emmanuel Venance.

Via @alliancefootballclub2011

Olympic Lyon yamfutankibarua kocha mkuu

Klabu ya Olympic Lyon imemfukuza kocha wake Sylvinho baada ya kuwa na matokeo mabovu (ushindi wa mechi moja tu kati ya tisa zilizopita) huku ikiwa nafasi ya 14 kwenye Ligi.Sylvinho licha ya kuchukua kazi ya ukocha mkuu mnamo Mei, klabu ya Lyon imesitisha mkataba na kocha huyo na hivyo itakuwa chini kocha msaidizi Gerald BarticleMkurugenzi wa Michezo wa Lyon, Juninho Pernambucano ambaye hatma yake pia imeangaziwa katika wiki za hivi karibuni, bado yeye atabaki katika majukumu yake.#Ligue1
#FukuzaYaMakocha

Design a site like this with WordPress.com
Get started