
βπ» Timu ya taifa ya Urusi π·πΊ imekuwa timu ya tatu huku Timu ya taifa ya Poland π΅π± imekuwa timu ya Nne kufuzu kucheza Michuano ya EURO 2020.. Ushindi wa magoli 5-0 dhidi ya Cyprus π¨πΎ uliwahakikishua Warusi kuwa nafasi ya kwanza katika kundi I, huku Poland nao wakimaliza kinara wa Kundi G baada ya Ushindi wao wa 2-0 mbele ya Macedonia π²π°!..
…
– Urusi waliomaliza robo fainali ya Kombe la Dunia waliongoza kupitia kwa Denis Cheryshev kabla ya Magomed Ozdoyev kuongezeka goli la pili mpaka Mapumziko, mabao ya kipindi cha pili kutoka kwa Artem Dzyuba, Aleksandr Golovin na la pili kutoka kwa Cheryshev yalitosha kuwafanya kuwa na pointi 21 Katika kundi lao… Poland waliomaliza na Pointi 19, walipata magoli yao kupitia kwa Frankowski na Arkadiusz Milik na Assist zote za Roberto Lewandowski yalitosha kuwapeleka EURO 2020!..
..
βπ» Ubelgiji Kinara wa Kundi I na Italia kinara wa Kundi J, pia ni Miongoni mwa Mataifa ambayo tayari yamefuzu kwa mashindano hayo ya msimu ujao wa kiangazi..
#EURO2020Qualifiers #EURO2020Q
@Harunlugoyah


β Baada ya miaka 40 hatimae wanawake waliruhusiwa ingia uwanjani nchini IRAN.














Siku moja baada ya mafanikio ya kushangaza ya Eliud Kipchoge, binamu yake Brigid Kosgei mwenye miaka 25 anaandika rekodi mpya kwenye Chicago Marathon, kakimbia km 42 katika muda wa saa 2, dakika 14 na sekunde 4.