
โ๐ป Habari Mbaya kwa Mashabiki wa klabu ya USM Alger ya Algeria ๐ฉ๐ฟ na watu wa Soka ni kwamba Mabingwa hao Watetezi wa Ligi Kuu ya Algeria wamelazimika kusimamisha shughuli zote za soka ndani ya klabu kwa muda kutokana na matatizo ya kifedha yaliyo iandama klabu hiyo.
….
โ๐ป Wafanyakazi, Benchi la Ufundi na wachezaji hawajalipwa kwa zaidi ya miezi Sita Sasa, Jumamosi hawakucheza mechi ya Ligi ambayo ilikuwa ni Derby ya Algeria dhidi ya Wapinzani wao, MC Alger ambao walipewa pointi tatu na Magoli Matatu huku wao USMA wakiambulia kupigwa faini ya $8220… Mpaka Sasa, Haijulikani kama klabu hiyo Pia Itajitoa katika Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Klabu hiyo ipo kundi C pamoja na Mamelodi Suntowns ๐ฟ๐ฆ, Petro Atletico ๐ฆ๐ด na Wydad Casablanca ๐ฒ๐ฆ.
…
โ๐ป Klabu hii ni miongoni wa timu kubwa Algeria na Maarufu zaidi ikianzishwa miaka 82 iliyopita.. Imeshinda mataji kama Algerian Ligue Professionnelle (8), Algerian Cup (8), Algerian Super Cup (2).. Katika viwango vya IFFH, USMA ipo nafasi ya kwanza kitaifa, nafasi ya 21 Barani Afrika na nafasi ya 407 Kudunia katika viwango vipya vya Septemba 29 mwaka Huu.. waliwahi kucheza ya CAF Champions League mara moja mwaka 2015, lakini walipoteza mbele ya TP Mazembe…
#Algeria #USMA #USMAlger
@Harunlugoyah