Zaheza..tunaanza ma mbao fc,,pyramids wanafuata

Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera amesema wamejiandaa kikamilifu kuelekea mchezo dhidi ya Mbao Fc ligi kuu ya Vodacom ambao utapigwa Jumanne, Oktoba 22

Akizungumza baada ya kuwasili jijini Mwanza mapema leo, Zahera amesema kikosi chake kimefanya maandalizi ya kutosha

“Tumejipanga kucheza kufuatana na wapinzani wetu tutakaokabiliana nao, tupo tayari kucheza na Mbao,” alisema Zahera

“Tumekuja na wachezaji wetu wote waliotimamu ambapo wale wawili (Abdulaziz Makame na Metacha) waliopo Taifa Stars watawasili kesho hapa Mwanza, leo tutaanza mazoezi tayari kuelekea michezo ijayo”

Ndairagije.kutangazwa kocha mkuu stars

Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa Etienne Ndayiragije huenda akatangazwa kuwa Kocha Mkuu baada ya kukiongoza kikosi cha Stars kukata tiketi ya kushiriki michuano ya CHAN pamoja na kucheza makundi kusaka tiketi ya fainali za michuano ya kombe la dunia

Imefahamika uongozi wa klabu ya Azam Fc wakati wowote utatangaza kumrejesha aliyekuwa kocha wao Aristico Cioba kurithi mikoba ya Ndayiragije

Aidha Juma Mgunda, Selemani Matola na Nadir Haroub nao wanatarajiwa kupewa mikataba ya kudumu timu ya Taifa

Crystal Palace kuwavaa Manchester City saa 1.30 usiku.

Pamoja na ubora wao, Manchester City hawajaonekana kama timu isiyofungika katika kipindi cha hivi karibuni, wakipoteza mechi zao mbili kati ya 4 zilizopita, na utakumbuka walikuwa na hawa viumbe wa Palace ambao waliwapa kipigo pekee kwenye ligi katika uwanja wao wa nyumbani wa Etihad msimu uliopita shukrani kwa goli la Andros

Townsend.
Rekodi hii na mwanzo mzuri wa ligi msimu huu chini Roy Hodgson – unawapa matumaini Palace kutopoteza leo.
.
Hata hivyo, City wameshinda pointi 30 kati ya 33 walizotakiwa kushinda hivi karibuni, na ndio ilikuwa timu ya mwisho kuifunga Palace katika dimba la Selhurst katika EPL, ushindi wa 3-1 mnamo mwezi April.
.
Crystal Palace leo wanamkaribisha tena nahodha wao Luka Milivojevic, ambaye alisimamishwa kwenye mchezo vs West Ham.
Mamadou Sakho hatocheza kutokana na maumivu, Connor Wickham pia atakosekana..
.
Manchester City leo wanafurahia kurejea kwa Kevin De Bruyne, John Stones na Benjamin Mendy baada ya kupona majeruhi.
Sergio Aguero alihusika kwenye ajali ya gari wiki iliyopita lakini yupo kucheza. Aymeric Laporte na Leroy Sane bado wataendelea kuwa chumba cha wagonjwa. .
.
Takwimu
β€’Crystal Palace wamebeba pointi 4 katika mechi zao 3 zilizopita za ligi dhidi ya Manchester City.
Hata hivyo, The Eagles πŸ¦… hawajashinda mechi hata moja kati ya 4 zilizochezwa nyumbani kwao dhidi ya vijana wa Pep Guardiola- sare 1 na kufungwa 3.
.
β€’ Wakati Palace wakiwa na clean sheets 3 kati ya mechi 4 walizocheza nyumbani msimu huu – Manchester City ndio timu yenye safu kali ya ushambuliaji – wamefunga magoli 27, magoli 7 zaidi ya timu yoyote mpaka kufikia weekend hii. .
.
Wazee mikeka, katika #NyumbaYaMabingwa @mbet.co.tz mikeka inasoma kwamba wenyeji Palace wapewa pointi 10.92 na City wamepewa pointi 1.25. Kazi kwako!!!

Pamba SC imemtambulisha Fred Felix Minziro kama Kocha Mkuu wa Klabu hiyo

Pamba SC imemtambulisha Fred Felix Minziro kama Kocha Mkuu wa Klabu hiyo Kuchukua nafasi ya Muhibu Kanu ambaye alijiuzulu nafasi yake.

Minziro atasaidiwa na aliyekua Kocha mkuu wa Pamba SC msimu uliopita Ally Kisaka.

Mara kadhaa Minziro amefanikiwa kusaidia basdhi ya vilabu kupanda ligi kuu kutoka ligi daraja la kwanza lakini amekuwa hana maisha marefu kwenye ligi kuu.

Kabla ya kujiunga na Pamba ya Mwanza, Minziro alikuwa kocha mkuu wa Singida United.

Tarehe kama ya leo: mwaka 2002, Everton ilikatisha rekodi ya Arsenal

Tarehe kama ya leo: mwaka 2002, Everton ilikatisha rekodi ya Arsenal ya kucheza mechi mechi 30 pasipo kupoteza

Pongezi kubwa ilikuwa kwa kinda Wayne Rooney akiwa na miaka 16 alipachika bao katika dakika ya 89 na kuipa ushindi Everton wa bao 2-1 dhidi ya Arsenal

Kutoka apo aliendelea na kufunga mabao 208 katika Ligi Kuu ya England. πŸ’«

Ni Alan Shearer (goli 260) pekee anayemzidi Wayne Rooney (goli 208) katika wafungaji bora wa mda wote Epl
Legend.πŸ™Œ

Bernard amefunga mabao mawili katika mechi tatu za Premier League

2 – Bernard amefunga mabao mawili katika mechi tatu za Premier League dhidi ya West Ham, bao moja zaidi kuliko alivyo funga katika michezo 38 iliyojumuishwa dhidi ya kila upande ambao amekabiliana nao kwenye Ligi…

✍🏻 Rekodi ya ufungaji ya Bernard ndani ya Premier league akiwa na Everton misimu yote:
2018-19: michezo 34, bao 1
2019-20: Michezo 7, mabao 2 πŸ‘‰ Tayari kwenye bora binafsi. πŸ˜‰πŸ™Œ
#PremierLeague #Everton

Barcelona yaendeleza umwamba la Logan

10 – Hakuna Klabu nyingine yoyote imeshinda michezo mingi zaidi ya LaLiga dhidi ya Eibar kuliko Barcelona (10). Kwa kuongezea tu, BarΓ§a ndio timu yenye mabao mengi yaliyofungwa dhidi yao Eibar kwenye mechi za Ligi (36).

✍🏻 Grizi: Goal + assist. Messi: Goal + assist. Suarez: Goal. πŸ”₯ Kwa mara ya kwanza, Barcelona ina Messi, Suarez na Griezmann kwenye Orodha ya Wafungaji ⚽⚽⚽… Ushindi huu unawapeleka FCB kileleni mwa Msimamo wa LaLiga..
#SDEibar #FCBarcelona #Laliga
@Harunlugoyah

Design a site like this with WordPress.com
Get started