Mambo yaliyojitokeza.katika.mchezo wa yanga vs mbao

Mambo kadhaa niliyoyaona kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara kati ya Yanga, dhidi ya Mbao FC.
.
.
Mfumo wa Yanga na Mbao ni moja wa 4-4-2 ila majukumu mbali mbali ya kimbinu yaliamua kwenye mchezo huu ukitizama mchezo moja moja wa hizi timu mbili unaona kabisa Yanga, wana wachezaji wazuri kuliko mbao. .
.
Eneo la kiungo Feisal Salum,leo ametumika kiungo mkabaji amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kufanya majukumu yake shida kubwa ilikuwa kwa Tshishimbi, ambaye alikuwa akicheza namba 8 sio mtulivu anakaa na mpira sana pasi hazifiki nilikuwa nashindwa kumuelewa anazunguka uwanja mzima.
.
.
Balama Mapinduzi, kiungo mshambuliaji wa pembeni ni mtulivu sana akiwa na mpira anajua afanye nini mda huu mpira yote alikuwa akipeleka kwenye eneo la ushambuliaji, asilimia 80 lillikuwa bado tatizo kwa Yanga. .
.
Ali Ali, leo kaonyesha kiwango kizuri kwenye eneo pa beki wa kati anakaba vizuri mpira ya juu yote ilikuwa ikiishia kwake Yondani, hakuwa na wakati mgumu sana 🙌.
.
.
Yule beki wa pembeni wa Mbao Fc, Emannuel Charles anajua sana anashambulia ni mzuri wa kupiga krosi anajua kukaba binafsi nimependa sana uwezo wake. .
.
Saidy Junior, kipindi cha kwanza mchezo haukumuhitaji ila yeye alikuwa anahuhitaji, muda mwingi alikuwa akicheza faulo sana kipindi cha pili kuingia kwa Waziri Junior, kulikuja kumresheja mchezoni muda ulikuwa sio rafiki kwao. .
.
Safu ya ulinzi ya Mbao imecheza kwa nidhamu sana ya hali ya juu ilikuwa ni ngumu kwa kiasi chake kuipita.
.
.
NB: hivi Yanga, na Waarabu ni lini?? CCM Kirumba pale sio mchezo. .
.
✍🏻@azizi_mtambo_15

Yanga yaicharaza mbao.1-0

Yanga imeendeleza umwamba dhidi ya Mbao Fc baada ya kuichapa bao 1-0 katika mchezo uliopigwa uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza

Bao pekee la Yanga lilifungwa na mshambuliaji raia wa Namibia Sadney Urikhob aliyemalizia krosi ya Mapinduzi Balama

Yanga imezikomba Milioni 10 zilizotolewa na wadhamini wao kampuni ya GSM baada ya ushindi huo

Kampuni hiyo imeahidi kuwa itakuwa ikitoka kitita cha Tsh Milioni kwa kila ushindi wa Yanga kwenye ligi

Licha ya Kuendelea kukaa benchi,..sina.mpango wa kuondoka

Licha ya Kuendelea kukaa benchi, kiungo wa klabu ya Arsenal Mesut Ozil amesema bado hana mpango wa kuondoka klabuni hapo.
:
Ozil ameendelea kuamini kuwa ana nafasi ya kucheza ndani ya kikosi hicho.
:
Siku chache zilizopita kocha wake Unai Emery alisema Ozil bado yupo kwenye mipango yake, anahitaji kupambana ili kupata nafasi katika kikosi chake cha Kwanza.
:
Unafikiri Mwana kwanini anaendelea kuing’ang’ania Arsenal licha ya kutopewa nafasi kwasasa?
.
.
.
Powered by @mcheza_tz @bussi_ntua @tshombee1 #sokaonlineupdates

Licha ya Kuendelea kukaa benchi,..sina.mpango wa kuondoka

Licha ya Kuendelea kukaa benchi, kiungo wa klabu ya Arsenal Mesut Ozil amesema bado hana mpango wa kuondoka klabuni hapo.
:
Ozil ameendelea kuamini kuwa ana nafasi ya kucheza ndani ya kikosi hicho.
:
Siku chache zilizopita kocha wake Unai Emery alisema Ozil bado yupo kwenye mipango yake, anahitaji kupambana ili kupata nafasi katika kikosi chake cha Kwanza.
:
Unafikiri Mwana kwanini anaendelea kuing’ang’ania Arsenal licha ya kutopewa nafasi kwasasa?
.
.
.
Powered by @mcheza_tz @bussi_ntua @tshombee1 #sokaonlineupdates

NIYONZIMA KUREJESHWA TANZANIA

Taarifa zilizopo hivi sasa ni kuhusiana na kiungo fundi wa AS Kigali ya Rwanda, Haruna Niyonzima anatajwa kurejea Tanzania.
Tetesi zilizo chini ya kapeti zinaeleza
kuna uwezekano akarejea kunako timu za Simba ama Yanga kwa ajili ya kutoa huduma yake. Licha ya Simba kumuacha, inaelezwa kiwango alichonacho kiungo huyo hadi
sasa kinawavutia kutokana na juhudi zake uwanja.

Niyonzima aling’ara zaidi katika mechi ya kirafiki ambayo Tanzania ilicheza na Rwanda katika mechi ya kirafiki iliyokuwa ni ya kalenda ya FIFA.

Yanga wananyatia kwa nguvu haswa mara baada ya kukutana na bosi wake wa zamani Bin Kleb siku walipocheza dhidi ya Tanzania. Dirisha dogo kunako Ligi Kuu Bara litafunguliwa Novemba 15 hadi 25.

#LikePageNewsUpdates

NIYONZIMA KUREJESHWA TANZANIA

Taarifa zilizopo hivi sasa ni kuhusiana na kiungo fundi wa AS Kigali ya Rwanda, Haruna Niyonzima anatajwa kurejea Tanzania.
Tetesi zilizo chini ya kapeti zinaeleza
kuna uwezekano akarejea kunako timu za Simba ama Yanga kwa ajili ya kutoa huduma yake. Licha ya Simba kumuacha, inaelezwa kiwango alichonacho kiungo huyo hadi
sasa kinawavutia kutokana na juhudi zake uwanja.

Niyonzima aling’ara zaidi katika mechi ya kirafiki ambayo Tanzania ilicheza na Rwanda katika mechi ya kirafiki iliyokuwa ni ya kalenda ya FIFA.

Yanga wananyatia kwa nguvu haswa mara baada ya kukutana na bosi wake wa zamani Bin Kleb siku walipocheza dhidi ya Tanzania. Dirisha dogo kunako Ligi Kuu Bara litafunguliwa Novemba 15 hadi 25.

#LikePageNewsUpdates

NIYONZIMA KUREJESHWA TANZANIA

Taarifa zilizopo hivi sasa ni kuhusiana na kiungo fundi wa AS Kigali ya Rwanda, Haruna Niyonzima anatajwa kurejea Tanzania.
Tetesi zilizo chini ya kapeti zinaeleza
kuna uwezekano akarejea kunako timu za Simba ama Yanga kwa ajili ya kutoa huduma yake. Licha ya Simba kumuacha, inaelezwa kiwango alichonacho kiungo huyo hadi
sasa kinawavutia kutokana na juhudi zake uwanja.

Niyonzima aling’ara zaidi katika mechi ya kirafiki ambayo Tanzania ilicheza na Rwanda katika mechi ya kirafiki iliyokuwa ni ya kalenda ya FIFA.

Yanga wananyatia kwa nguvu haswa mara baada ya kukutana na bosi wake wa zamani Bin Kleb siku walipocheza dhidi ya Tanzania. Dirisha dogo kunako Ligi Kuu Bara litafunguliwa Novemba 15 hadi 25.

#LikePageNewsUpdates

SIMBA MECHI MBILI SIKU MOJA

✍na saboso Gin jr
MASHABIKI wa Simba hivi sasa wana jeuri sana. Ukikaa pale klabuni Msimbazi utacheka sana. Jeuri yao imepitiliza hadi kufikia hatua ya kuitaka Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwapangia wacheze mechi mbili kwa siku moja.

Si unafahamu kwamba Jumatano ya wiki ijayo yaani Oktoba 23, mwaka huu wanacheza na Azam FC pale Uwanja wa Uhuru, basi siku hiyohiyo pia wanataka wacheze na Yanga. Wanaona Januari 4, mwakani ni mbali sana.

Wanawataka mapema.
Ukiangalia kwenye Ligi Kuu Bara, Simba ndiyo vinara wa ligi hiyo wakiwa na pointi 12 baada ya kucheza mechi nne na kushinda zote.

Wao na Azam ambao wanashika nafasi ya pili, peke yao ndiyo wameshinda mechi zote walizocheza hadi sasa. Azam wamecheza mechi tatu na kushinda zote.

Sasa vikosi hivyo ambavyo wanatamba navyo Simba kwamba vina uwezo wa kucheza mechi viwanja tofauti kwa siku moja na kushinda bila ya wasiwasi ni hivi hapa:

🔷SIMBA VS YANGA
Wenyewe wanasema mchezo huu uchezwe Uwanja wa Taifa jijini Dar. Kikosi ambacho kitacheza dhidi ya Yanga wanataka Aishi Manula akae langoni.

Shomary Kapombe, Mohammed Hussein, Erasto Nyoni, Pascal Wawa wasimamie ulinzi huku pale kati wakiwapanga Jonas Mkude na Clatous Chama. Mastaa wengine waliowaweka kwenye kikosi hiki ni Mzamiru Yassin, John Bocco, Meddie Kagere na Hassan Dilunga.

Katika kikosi hicho, wachezaji wote hao walikuwa Simba msimu uliopita na bado anaendelea kupambana kuhakikisha wanatetea ubingwa wao wa Ligi Kuu Bara. Wanaamini kwamba kikosi hicho kinaweza kuisimamisha Yanga bila presha yoyote kwenye Uwanja wa Taifa.

🔷SIMBA VS AZAM
Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar, mashabiki wa Simba wanasema wataenda na kikosi hiki siku hiyohiyo ya Jumatano:
Beno Kakolanya, Haruna Shamte, Gadiel Michael, Kennedy Juma, Tairone Santos, Gerson
Vieira, Deo Kanda, Sharaf Shiboub, Miraj Athuman, Ibrahim Ajibu na Francis Kahata. Hapo kuna wengine kibao wako benchi wakiwemo vijana.

Kikosi hiki wanachotamba kwamba kinawatosha Azam, kinajumuisha wachezaji wapya waliosajiliwa na Simba msimu huu na ambao wanafanya vizuri kila wanapopewa nafasi. Ni mashine ambazo lengo la Kocha na uongozi wa Simba ilikuwa kuwatumia kuongeza nguvu kwenye michuano ya kimataifa ambayo walitolewa mapema bila kutarajia.
#sportskitaa #sportskitaa

Design a site like this with WordPress.com
Get started