
Timu 20 zinazo shiriki ligi kuu nchini England zimepiga kura zikitaka dirisha la usajili la majira ya joto lifungwe usiku wa kuamkia Septemba moja kama sehemu nyingine barani Ulaya. .
England waliweka utaratibu kuwa dirisha lao la usajili la majira ya joto linafungwa siku moja kabla ya kuanza kwa ligi wakati sehemu nyingine kama Hispania, Italia, Ujerumani na Ufaransa linafunga septemba moja
#wapendasokaupdates
👉Vodacom Premier League









:
PEp” BARCELONA Itachukua muda mrefu kuitengeneza upya endapo wataruhusu messi kuondoka wanatakiwa wawe makini kuhusu jambo hili pia warejee kwa wapinzani wao REAL MADRID Kilichowatokea baada ya kuondoka CHRISTIAN RONALDO









#SokaplaceUPDATES
