Kupitia ukurasa wake wa Instagram, kocha Patrick Aussems ametoa taarifa rasmi kwamba uongozi wa Simba kupitia kwa mkurugenzi mtendaji wa klabu hiyo Senzo Mazingisa umemtaarifu kwamba kibarua chake kimekoma. Taarifa hiyo inahitimisha sakata kati ya Simba na Aussems ambalo limedumu kwa takribani wiki nzima huku kocha huyo akisimamishwa kwa muda kupisha uamuzi wa bodi ya …
Category Archives: simba
Shomari Kapombe kutoka mshambuliaji hadi beki
Mchezaji wa Simba @shomari_12_kapombe ni miongoni mwa wachezaji wachache wanaoweza kucheza nafasi nyingi uwanjani na kutekeleza majukumu ipasavyo. Kwa sasa anacheza sana eneo la ulinzi (kulia) lakini anauwezo mkubwa wa kusaidia kushambilia akitokea pembeni-kulia. Anaweza pia kucheza kama beki wa katikati na kiungo wa kati na amewahi kucheza mara kadhaa. β’ “Nilianza maisha ya soka …
Continue reading “Shomari Kapombe kutoka mshambuliaji hadi beki”
Mambo 10 nilioyaona Simba Vs Prison
1: Bado changamoto kubwa ya Aussems ni kutofanya research ya kuwajua wapinzani wake. Prison ni aina ya timu inayohitaji kupigwa presha pembeni sio kufosi kupita katikati. Plan yake ndio kitu cha kwanza kilichoighairmu Simba kabla ya kutazama wachezaji. 2: Adolf Richardπ Fantastic approach π Haikushangaza leo Mkandala kutokea benchi. Ni mpango aliokua nao baada ya …
YALIYOJIRI GAME YA SIMBA VS PRISONS!
: 1. Prisons ni timu iliyo bora sana kuanzia eneo la ulinzi mpaka kiungo wanacheza kwa nidhamu sana na wanacheza kitimu sana shida ipo kwenye final third yao wanapoenda kushambulia hawana wachezaji wenye uchu wa kupata magoli!! : 2. Adolf Rishard, watu wanalalamika Simba kutoshinda ila kwanza wanatakiwa wampongeze Adolf Rishard kwa kutengeneza timu ya …
Viingilio mechi ya simba
Je.simba kuendeleza vipigo vikali leo
Simba Vs Tz Prisons ποΈ Uhuru Stadium β±οΈ 10:00 Jioni #VPL . Simba wapo kileleni mwa msimamo wa ligi wakiwa na alama 21 baada ya kucheza mechi 8, Simba wataingia nakumbukumbu ya kutoa kipigo cha goli 4-0 mechi iliyopita, huku wakiwa wamepoteza mchezo mmoja tu hadi hivi sasa, wakifungwa na Mwadui 1-0. (W W W …
Jonas Gerard Mkude ameanza mazoezini na kikosi cha Simba baada ya kuwa nje kwa siku kadhaa
Mchezaji wa klabu ya Simba Jonas Gerard Mkude ameanza mazoezini na kikosi cha Simba baada ya kuwa nje kwa siku kadhaa.
KABURU NA AVEVA WARUDI URAIANI
Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam imewaachia kwa dhamana Aliyekuwa Rais Wa Simba Evans Aveva na makamu wake Geoffrey Nyange Kaburu baada ya kutupilia mbali mapingamizi ya upande Wa Serikali ambao walitaka wasipate dhamana. Credit: michuzi #wapendasokaupdates
Kapombe na shabalala. Warejea.kikosini
Kocha Mkuu wa @simbasctanzania Patrick Aussems amethibitisha kwamba Shomari Kapombe na Mohamed Hussein watakuwa sehemu ya mchezo wa kesho dhidi ya Mbeya City. Wachezaji hao walikosekana kwenye michezo miwili iliyopita ya Ligi Kuu kutokana na kusumbuliwa na majeraha.
Senzo aungana na simba Arusha
Mtendaji Mkuu wa Simba Senzo Mazingiza amejiwekea utaratibu wa kuungana na timu popote inapokwenda kucheza Mazingiza atakuwepo uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuishuhudia timu yake ikichuana na Singida United kwenye mchezo wa ligi kuu Amefanya hivyo tangu alipoanza majukumu yake katika klabu ya Simba, hakika amekuwa chachu ya ushindi kila mara anapokuwa dimbani