#SimbaUpdates | Mechi 2 zijazo za SIMBA SC. . © Tar 16, Alhamisi Mbao FC Vs Simba Sc CCM Kirumba | 10:00 Jioni . © Tar 19, Jumapili Alliance FC Vs Simba Sc CCM Kirumba | 10:00 Jioni. . #bakinasisi__ #NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo
Category Archives: simba
Hatimae siku husika imefika
Hatimae siku husika imefika. Mashindano ya Mapinduzi Cup yatamalizika Leo kwa mwaka huu 2020 kwa fainali Kali ya Simba Sc vs Mtibwa Sugar. Toka kuanzishwa ma mashindano haya, Simba na Mtibwa katika hatua ya Fainali wamekutana mara mbili lakini kwa bahati mbaya Mtibwa hakubahatika kubeba kombe mbele ya wekundu hao. 2008 Simba sc 1-0 Mtibwa …
Kikosi cha @simbasctanzania mazoezini kujiandaa na mchezo wa fainali #MapinduziCup dhidi ya Mtibwa Sugar.
.
Beno Kakolanya amesema kuwa mbinu zake binafsi zilimfanya aweze kucheza mkwaju mmoja wa Penati hapo jana.
Baada ya kuiwezesha klabu ya Simba kutinga katika Fainali ya Kombe la mapinduzi ,Golikipa wa klabu hiyo Beno Kakolanya amesema kuwa mbinu zake binafsi zilimfanya aweze kucheza mkwaju mmoja wa Penati hapo jana. #SokaplaceUPDATES @danirito_thomson @officialchristz
Kikosi cha @simbasctanzania dhidi ya @azamtvtz #MapinduziCup2020
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam, Francis Kahata amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora
👉Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam, Francis Kahata amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Disemba wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2019/20, akiwashinda Hassan Dilunga wa Simba na Bakari Mwanyeto wa Coastal Union alioingia nao fainali. #SokaplaceUPDATES
Haji Manara awageukia wachezaji Simba
Kocha ammwagia sifa mwamuzi “
Kocha ammwagia sifa mwamuzi “ – “ Kocha wa wapinzani wetu, amezungumzia sheria za mchezo, na kiukweli pambano la leo limeamualiwa na sheria. Mwamuzi alikuwa vizuri, sina budi kumsifia kwa kulimudu pambano gumu kama hili, alifanya vizuri sana.” – Kocha wa Simba, Sven Vandenbroeck akimpongeza mwamuzi Jonesia Rukyaa kwa kuchezesha vizuri pambano la watani wa …
Mkwasa atema cheche… Penati ya simba
🗣 “ Goli la kwanza ambalo lilionekana wazi kabisa penati ilikuwa inatafutwa…Ndio hayo nasema kwamba kuna timu ambazo zinazoongozwa kwa ajili ya kupata penati. “ kocha Mkwasa akizungumzia penati ya Simba jana. – Penati za Simba msimu huu 2019/20 ⚽️ Vs. UD Songo ⚽️ Vs. Kagera Sugar ⚽️ Vs. Mbeya City ⚽️ Vs. Lipuli ⚽️ …
DAKIKA 90 ZA KARIAKOO DERBY : Na Octa ayubu Jr Sehemu ya Pili
DAKIKA 90 ZA KARIAKOO DERBY : Na Octa ayubu Jr Sehemu ya Pili : Tunachoamini watanzania Ni kwamba straika yoyote lazima afunge lakini kisoka sio kweli.Kwa mtazamo mwepesi huenda akaonekana Kagere alikuwa Bora kwasababu katafuta penati na kuifunga na Nchimbi hajafunga,lakini kiufupi Nchimbi leo alikuwa msaada mkubwa kwa Yanga na ndiye aliyewafanya wachezaji wa Simba …
Continue reading “DAKIKA 90 ZA KARIAKOO DERBY : Na Octa ayubu Jr Sehemu ya Pili”