Kikosi cha Simba Sc kimeondoka salama jijini Mwanza baada ya kukusanya alama 6 muhimu baada ya kuzicheza mechi mbili na kushinda zote katika uwanja wa Ccm Kirumba “Mwanza”. . . Mechi ijayo ya Simba Sc/ Simba Sc vs Mwadui Fc tarehe 25/1/2020. #AzamsportsfederationCup
Category Archives: simba
Mambo 10 nilioyaona Alliance Vs Simba
1: Jonas Gerrald Mkude. WOW🙌 Kwangu ndio Man of the match leo👏 Ameimarika sana kiuchezaji. 85 % ya pasi zake zilielekea mbele. Akaipush sana Simba kuisogelea Alliance. Movement zake kwenye boksi ni za akili sana.. Haishangazi kuona amefunga mabao 2, kwenye mechi 2🙌 2: Minziro 🤔 Naheshimu sana kazi yake but leo alikua poor sana …
KAGERE KUREJEA DIMBANI SIMBA IKISAKA POINT KWA ALLIANCE
Mfungaji bora Wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara Meddie Kagere atarejea dimbani Leo kama Kocha ataamua kumtumia wakati Simba ikiikabili Alliance FC ya Jijini Mwanza katika mchezo Wa ligi kuu kwenye uwanja Wa CCM Kirumba. Kagere ambaye alikosekana katika mchezo wa kati kati ya wiki Simba ikishinda bao 2-1 dhidi ya Mbao FC baada …
Continue reading “KAGERE KUREJEA DIMBANI SIMBA IKISAKA POINT KWA ALLIANCE”
Kinala wa mabao Medie Kagere amereje dimbani rasmi
Kinala wa mabao Medie Kagere amereje baada ya kumaliza adhabu yake ya kadi tatu za njano tayari kwa kuwavaa Alliance Fc hapo kesho. Pia kiungo mshambuliaji Luis Miquisson ameanza mazoezi na Timu baada ya mipango ya kibali cha kuichezea simba kukamilika, nae tayari kwa kuwavaa Alliance Fc. Alliance Fc vs Simba Sc Saa 10:00 Jioni …
Continue reading “Kinala wa mabao Medie Kagere amereje dimbani rasmi”
Leo • Mbao FC Vs Simba Sc | ⏰ 10:00 Jioni | 🏟️ CCM Kirumba | 🏆 Vodacom Premier League.
#VplUpdates | Leo • Mbao FC Vs Simba Sc | ⏰ 10:00 Jioni | 🏟️ CCM Kirumba | 🏆 Vodacom Premier League. : Kuelekea pambano la ligi kuu ya kandanda Tz bara, kati ya Mbao FC ya Jijini Mwanza na Simba Sc hii leo, nimekusogezea Taarifa kutoka ndani ya klabu hizo. : 🔥 MAKOCHA WANENA …
Rasmi Simba sc yamrejesha kiungo wao wa zamani shiza kichuya.
Kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa, klabu ya Simba imemtamburisha fundi Shiza Ramadhani Kichuya kurejea katika klabu yao. #fullsokatzupdates
Kagere kuikosa mbao leo
Mshambuliaji wa klabu ya Simba SC Medie Kagere leo ataukosa mchezo waleo ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Mbao FC kutokana na kuwa na kadi tatu za njano. #SokaplaceUPDATES
SIMBA KUANZISHA ACADEMY YA SOKA
Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya Simba Sc, Mohamed Dewji amesema kwamba, ana ndoto za kua na academy ya soka ya Simba Sc ambayo kwa kuanzia itakua na Wachezaji 100 wa umri chini ya miaka 10,12,14 na 18. Mo amezungumza hayo ofisini kwake alipotembelewa na Balozi wa Sweden, Andres Sjöberg
Baada ya kupoteza fainali ya Mapinduzi simba yawasili.mwanza.kuweka.msawazo
Baada ya kupoteza fainali ya Mapinduzi Cup mbele ya Mtibwa Sugar, kikosi cha Simba sc kiliwasili Jana usiku jijini Mwanza kwa ajili ya michezo miwili ya ligi kuu dhidi ya Mbao Fc na Alliance Fc. Picha 📸 ni mazoezi ya mwisho ya Simba tayari kabisa kwa mtanange wa kesho dhidi ya Mbao Fc. #fullsokatzupdates #fullsoka🌎🌎
Yanga yapata kibali cha niyonzima.kutoka kwa simba
Baadhi ya viongozi wa Yanga sc wakiwa na CEO wa Simba Sc, walipo wasili katika ofisi za simba kwaajili ya kuhitaji kibali cha Haruna Niyonzima na wakakipata. #fullsokatzupdates