UONGOZI wa Simba umesema kuwa timu itaendelea kupambana kwenye mechi zake zote za Ligi Kuu Bara ili kufikia malengo waliyojiwekea ya kutetea ubingwa msimu huu. Simba kesho itashuka Uwanja wa Taifa kumenyana na JKT Tanzania ikiwa ni mchezo wa kwanza wa mzunguko wa pili kwa msimu wa 2019/20. Akizungumza na Saleh Jembe, Patrick Rweyemamu, Meneja …
Continue reading “SIMBA YAIPIGIA HESABU JKT TANZANIA KESHO, TAIFA”