Muonekano wa uwanja wa mazoezi wa @simbasctanzania unaoendelea kujengwa maeneo ya Bunju.
Category Archives: simba
Wachezaji wa Simba Queens wakifanya mazoezi ya pamoja na wachezaji wa timu ya St. Pauli
Wachezaji wa Simba Queens wakifanya mazoezi ya pamoja na wachezaji wa timu ya St. Pauli ili kuweza kufahamiana na kubadilishana mbinu za soka. Mazoezi hayo yamefanyika mjini Hamburg, Ujerumani. #SimbaYaKimataifa #NguvuMoja
Kutoka kambini Afrika Kusini, Kikosi cha Simba Sc kimeendelea na mazoezi ya kujenga mwili. #PreSeason
Kutoka kambini Afrika Kusini, Kikosi cha Simba Sc kimeendelea na mazoezi ya kujenga mwili. #PreSeason
Beki Zana Coulibaly haamini kilichomtokea simba
Beki Zana Coulibaly ameachwa kwenye kikosi cha Simba baada ya kuitumikia timu hiyo kwa miezi sita tu Beki huyo aliyetua Simba wakati wa usajili wa dirisha dogo alikuja nchini kwa lengo la kuanza maandalizi ya msimu mpya hata hivyo akakutana na barua ya kutupiwa virago Licha ya usajili wake kupambwa na mbwembwe nyingi, Zana alishindwa …
Continue reading “Beki Zana Coulibaly haamini kilichomtokea simba”
Mzee Hamis Kilomoni sio mdhamini tena wa klabu ya Simba.
Hizi ni barua zilizotoka kwa Kabidhi Wasii Mkuu wa Serikali kwenda kwa wakili wa aliyekuwa mdhamini wetu, na pia barua ya Mahakama kwenda kwa wakili huyo zinazothibitisha mdhamini huyo Mzee Hamis Kilomoni sio mdhamini tena wa klabu yetu ya Simba. Taarifa hii ilitolewa leo na Afisa Mtendaji Mkuu, Crescentius Magori kwenye mkutano wake na wanahabari. …
Continue reading “Mzee Hamis Kilomoni sio mdhamini tena wa klabu ya Simba.”
Mtendaji Mkuu wa Simba Crescentius Magori ametolea ufafanuzi suala la Juuko Murshid
Mtendaji Mkuu wa Simba Crescentius Magori ametolea ufafanuzi suala la Juuko Murshid ambaye inatajwa ameonesha utovu wa nidhamu ndani ya klabu ya Simba akiwa ndani ya mkataba na klabu hiyo unaomalizika mwezi Desemba mwaka huu. : “Wakati timu imeenda Kanda ya Ziwa, alisema anaumwa (kweli aliumia) akabaki Dar akiuguza majeraha, timu ilivyorudi Dar tayari alikuwa …
Baada ya mazoezi ya asubuhi wachezaji wa Mabingwa wa nchi wanapata chakula kizuri cha mchana na baada ya hapo wanapumzika kujiandaa na mazoezi ya jioni
Baada ya mazoezi ya asubuhi wachezaji wa Mabingwa wa nchi wanapata chakula kizuri cha mchana na baada ya hapo wanapumzika kujiandaa na mazoezi ya jioni. #NguvuMoja
Nyota 13 waliotemwa simba
Simba imetangaza kuwaacha wachezaji wake 13, akiwemo mfungaji bora wa Uganda katika fainali za Afcon, Emmanuel Okwi. Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Crescentius Magori alisema kati ya wachezaji hao, sita wametolewa kwa mkopo na saba wamemaliza mikataba. “Waliomaliza mikataba klabu haikuhitaji kuendelea nao, isipokuwa Asante Kwasi ambaye mkataba …
Baadhi wa wacheza wakiwa katika Maandalizi ya msimu mpya @simbasctanzania
Maandalizi ya msimu mpya @simbasctanzania
Taarifa kwa vyombo vya habari. Mwenyekiti wa klabu ya simba kuongea na waandishi wa habari
Taarifa kwa vyombo vya habari. #SimbaYaKimataifa #NguvuMoja