Klabu ya @simbasctanzania hii leo majira ya Saa 5:00 asubuhi (EAT) inatarajia Kucheza mchezo wao wa Kwanza wa Kirafiki

– Klabu ya @simbasctanzania hii leo majira ya Saa 5:00 asubuhi (EAT) inatarajia Kucheza mchezo wao wa Kwanza wa Kirafiki wakiwa kambini Nchini Afrika Kusini… Mchezo huo wa kujipima Ni dhidi ya timu ya Chuo Kikuu Cha Orbit TVET Collage, Orbit FC mjini Rustenburg.. #Updates

Afisa Mtendaji Mkuu, Crescentius Magori leo amejumuika pamoja na wachezaji na benchi la ufundi katika chakula cha usiku

Afisa Mtendaji Mkuu, Crescentius Magori leo amejumuika pamoja na wachezaji na benchi la ufundi katika chakula cha usiku hapa kambini mjini Rustenburg, Afrika Kusini. #NguvuMoja

Afisa Mtendaji Mkuu, Crescentius Magori leo amejumuika pamoja na wachezaji na benchi la ufundi katika chakula cha usiku

Afisa Mtendaji Mkuu, Crescentius Magori leo amejumuika pamoja na wachezaji na benchi la ufundi katika chakula cha usiku hapa kambini mjini Rustenburg, Afrika Kusini. #NguvuMoja

CUF yavuruga ratiba ya simba day

Kitendo cha Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) kuipanga Simba hatua ya awali ya michuano ya ligi ya mabingwa, kimevuruga ratiba ya timu hiyo kuelekea Tamasha la SIMBA DAY linalofanyika kila mwaka Simba inapaswa kusafiri kwenda nchini Msumbiji kuumana na USD Songo katika mchezo wa kwanza wa hatua ya awali ambao utapigwa kati ya tarehe …

Simba kuanza na US songo ligi yamabingwa africa

Mabingwa wa soka Tanzania Bara Simba wataanza kampeni ya kutinga hatua ya makundi ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika kwa kumenyana na US Songo ya Msumbiji katika mchezo wa hatua ya awali Simba itaanzia ugenini katika mchezo wa kwanza utakaopigwa kati ya August 09-11 na itamalizia mchezo wa pili uwanja wa Taifa kati …

Simba kuwa na viwanja viwili bunju

Achana na kiwanja cha nyasi bandia ambacho kinasubiri kutandikwa nyasi hizo baada ya zoezi la kuweka miundombinu kukamilika Mabingwa wa nchi Simba, huko Bunju watakuwa na viwanja viwili ambapo wakati huu tayari ujenzi wa kiwanja kingine kitakacho-pandwa nyasi asili unaendelea Kisima cha maji yatakayotumika kumwagilia kiwanja hicho kimechimbwa na sasa zoezi la kutandaza mbolea linaendelea …

Design a site like this with WordPress.com
Get started