Nyota wa zamani wa klabu ya Simba Jamhuri Kiwhelo ‘Julio’ amesema moja ya sababu iliyopelekea Simba kuondoshwa kwenye michuano ya ligi ya mabingwa, ni kitendo cha kuidharau UD Songo Julio ambaye pia amewahi kuwa kocha wa Simba, amesema baada ya matokeo ya suluhu ya bila kufungana kwenye mchezo wa ugenini, pamoja na mafanikio iliyopata Simba …
Category Archives: simba
Simba sc.kuhamishia nguvu ligi.kuu na FA
Baada ya kuondolewa.katika michuano ya klabu bingwa afrika ..mabingwa wa nchi simba sport club sasa ..nguvu yao yote wanaiamishia katika mashindano ya ligi kuu tanzania bara(Vodacom premia league ) pamoja na kombe la FA. “Malengo yetu kwa sasa ni kufanya vizuri kwenye mashindano yote kuanzia Ligi Kuu, kombe la FA na mingine ambayo tutashiriki”Kocha Mkuu …
Mkutano.- haji manara wahairishwa
Mkutano wa msemaji wa klabu ya simba haji manara uliokua unatakiwa kufanyika hii Leo katika serena hotel umehairishwa “Sorry kwa Wanahabari,Press iliyokuwa ifanyike leo Serena Hotel imehairishwa baada ya dharura iliyotokea ambayo ipo nje ya uwezo wetu, Tutawaarifu kitakachojiri Haji Manara “ @habarizamichezo
Simba kurejea kesho mzigoni
Kikosi cha Simba kesho kitarejea mazoezini kujiwinda na mchezo wa kwanza wa ligi kuu ya Vodacom dhidi ya JKT Tanzania, mchezo ambao utapigwa Alhamisi kwenye uwanja wa Uhuru Benchi la ufundi liliwapa wachezaji hao mapumziko ya siku moja baada ya mchezo wa jana wa ligi ya mabingwa ambao ulimalizika kwa sare ya bao 1-1 Mabingwa …
Mohammed hussein-Ayakubali matokeo
Nahodha msaidizi wa Simba Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’ amesema wameyakubali matokeo ya kuondoshwa michuano ya ligi ya mabingwa dhidi ya UD Songo kwani ndio mpira ulivyo Zimbwe Jr maarufu zaidi kama ‘Tshabalala’, amesema walifanya jitidaha kupata ushindi lakini bahati haikuwa yao “Tulipambana ili tuweze kushinda lakini bahati haikuwa upande wetu,” amesema “hatuna namna, inabidi tujipange …
Haji manara kuongea na waandishi wa habari hapo kesho
Msemaji wa klabu ya simba school @hajismanara Kesho Jumanne tarehe 27/8/2019 Saa sita kamili mchana,Kwenye hoteli ya nyota tano ya Serena iliyopo hapa jijini Dar es Salaam,nitaongea na Wanahabari za michezo, Mkutano huo utafanyika Kwenye ukumbi wa kivukoni three uliopo ndani ya hoteli hiyo Mkutano huo utarushwa live na @azamtvtz kupitia Azam sports two na …
Continue reading “Haji manara kuongea na waandishi wa habari hapo kesho”
Haji manara kuongea na waandishi wa habari hapo kesho
Msemaji wa klabu ya simba school @hajismanara Kesho Jumanne tarehe 27/8/2019 Saa sita kamili mchana,Kwenye hoteli ya nyota tano ya Serena iliyopo hapa jijini Dar es Salaam,nitaongea na Wanahabari za michezo, Mkutano huo utafanyika Kwenye ukumbi wa kivukoni three uliopo ndani ya hoteli hiyo Mkutano huo utarushwa live na @azamtvtz kupitia Azam sports two na …
Continue reading “Haji manara kuongea na waandishi wa habari hapo kesho”
BAADA YA DK 90 ZA SIMBA NA UD DO SONGO HAPA TAIFA.
Na Jose Jose Baada ya KMC juzi jana haikuwa kazi ndogo kwa Azam na Yanga kuipeperusha vyema bendera ya Taifa baada ya kushinda michezo yao ya marudiano,Azam waliwika pale Chamanzi baada ya kuwasukuma Fasil Kenema kwa ushindi wa 3-2 huku Yanga wao wakiuwasha kule Gaborone kunako Dimba la Botswana National Stadium baada ya ushindi wa …
Continue reading “BAADA YA DK 90 ZA SIMBA NA UD DO SONGO HAPA TAIFA.”
FT: Simba SC 1-1 UD Songo….simba yaondoshwa
SIMBA OUT…!!! Simba yatupwa nje ya michuano ya Mabingwa Afrika kwa faida ya bao la ugenini waliyoipata UD Songo kutoka Msumbiji kufuatia suluhu kwenye mchezo wa kwanza.
KIKOSI CHA SIMBA SC DHIDI YA UD SONGO
Tazama.kikosi cha mabingwa wa nchi.simba sc kinachoanza hii Leo dhidi ya wapolinzani wao UD songo kutoka zambia