Winga mpya wa Simba, Miraji Athuman amesema anachokipigania kwa sasa ni kuhakikisha kocha mkuu Patrick Aussems anamshawishi ili kupangwa kikosi cha kwanza. Aussems amekuwa akimpa nafasi mchezaji huyo na mechi yao ya ufunguzi alifunga bao moja, Simba ikiibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya JKT Tanzania. Mchezaji huyo amesema anatamani kufanya kazi na sio …
Continue reading “Miraji Athuman kusaka namba ya kudumu simba sc”