Simba kukabiliwa na changamoto ya uwanja Sheikh Amri Abeid

Singida United na Simba zinakutana leo kwenye mchezo wa ligi kuu unaopigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid mkoani Arusha Hata hivyo mchezo huo unafanyika baada ya kufanyika kwa Tamasha la Fiesta katika uwanja huo Lakini pia, uwanja wa Sheikh Amri Abeid ni moja ya viwanja ambavyo sehemu yake ya kuchezea ‘pitch’ sio nzuri Jana Simba …

MKUDE CHAMA KUKATWA MPUNGA SIMBA

✍na saboso Gin jr Baada ya kutuhumiwa kuwa walikuwa na makosa ya kinidhanu, inaelezwa wachezaji Gadiel Michael, Jonas Mkude, Erasto Nyoni na Clatous Chama walifikishwa kwenye kamati ya nidhamu. Taaifa zimeeleza kuwa CEO mpya wa klabu hiyo, Senzo Mazingiza, amesema tayari walikutana na wachezaji hao na tayari wameshamaliza. Bosi huyo amefunguka kuwa kuna mambo hayakuwa …

CEO MAZINGISA KUHUSU WALIOSIMAMISHWA SIMBA.

. “Hakuna mchezaji aliyeadhibiwa bali walisimamishwa kutokana na madai ya utovu wa nidhamu. . “Nilikutana na wachezaji hao na kuzungumza nao mambo yakaisha. . “Niseme tu, hili si kwa wachezaji pekee kwamba ndiyo wanapaswa kuwa na nidhamu bali kwa wote ili kuisaidia Simba kwenda inavyotakiwa ili mambo yaende kwenye mstari. #wapendasokaupdates

MIWANI YANGU: GERSON FRAGA VIERA MZUNGU MWENYE DAMU NYEUSI

NA MESHACK MELELE Johan Cruffy mmoja ya watu walioupa maana mchezo wa soka, akiwa kama mchezaji na pia kama Kocha, yote tunayoyaona pale Barcelona yalianzia katika kichwa hichi, alijua mpira unataka nini akaupatia, mauti yalimfika mwaka 2016 alilala bila kuamka katika kitanda chake pale Barcelona catalunya. Kabla hajamaliza pumzi zake pale Barcelona alishawahi kutamka siri …

Fraga awa gumzo

ABDULAH MKEYENGE NAPENDA kumtazama kiungo Mbrazil wa Simba Gelson Fraga. Ni kiungo anayejua kutimiza vyema majukumu yake. Mpira ukiwa mguuni mwake hakai nao hata kwa sekunde kumi anautoa kuupeleka kwingine. Viungo wa kileo ndiyo wanacheza hivi. Kuna sehemu tunajidhulumu tunapomtazama Fraga, kibaya zaidi tumeamua kumdhulumu na Fraga mwenyewe. Tunamtaka afanye zaidi ya anachotuonyesha. Kiungo wa …

Simba kucheza mechi.tano siku 15

Kocha Mkuu wa Simba Patrick Aussems amesema baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam Fc jana, kikosi chake kitakuwa na kazi ya kuhakikisha kinabaki kileleni mwa msimamo wa ligi ambapo wanakabiliwa na ratiba ngumu ya kucheza mechi tano katika kipindi cha siku 16 Aussems amesema haitakuwa jambo jepesi hasa ikizingatiwa mechi za …

SIMBA YAICHAPA AZAM, YAZIDI KUJIKITA KILELENI VPL

Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Simba imeibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Azam FC katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom, Tanzania bara uliofanyika uwanja wa Taifa. Ushindi huo unaifanya Simba kufikisha pointi 15 ikishinda mechi zake zote tano za awali wakiwa kileleni mwa msimamo wa VPL. Mchezo haukuanza …

Mambo kadhaa yaliyojitikeza.katika.mchezo wa simba vs Azam

Mambo kadhaa niliyoyaona kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara kati ya Simba dhidi ya Azam. . . Kipindi cha kwanza Azam, walifanikiwa kuwazuia Simba, eneo la kiungo kwa asilimia 70 walikuwa matumizi ya nguvu wanashambulia kutumia mpira mirefu huu ndo ulikuwa mpango sahihi kwa aina ya viungo wa Simba. . . Yule Yakubu Mohamed, …

Miraji akabidhiwa tuzo mchezaji bora mwezi.septemba

Kabla ya mchezo dhidi ya Azam Fc leo, winga Miraji Athumani ‘Sheva’ alikabidhiwa zawadi yake baada ya kuibuka mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi wa tisa Amekabidhiwa kitita cha Tsh Milioni Moja pamoja na kin’gamuzi cha Azam TV Kocha Patrick Aussems nae aliibuka kuwa kocha bora wa mwezi wa tisa

Design a site like this with WordPress.com
Get started