Kikosi cha Simba kimeelekea mkoani Morogoro kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mtibwa Sugar Mchezo huo utapigwa siku ya Jumanne, Februari 11 kwenye uwanja wa Jamhuri Baada ya kupoteza mchezo uliopita kwa kufungwa bao 1-0 na JKT Tanzania, mkufunzi wa Simba Sven Vandenbroeck anahitaji kuhakikisha vinara hao wa ligi kuu wanarejesha utamaduni …
Continue reading “Ni. Ushindi tu morogoro kumnusuru kocha mkuu simba”