Odion Ighalo alijiunga na Manchester United kwa mkopo hadi mwisho wa msimu katika siku ya mwisho ya dirisha la uhamisho la mwezi Januari. Mshambuliaji wa Manchester United Odion Ighalo atakosa mazoezi na klabu hiyo nchini Uhispania kutokana na hofu kwamba virusi vya corona vinaweza kumzuia kuruhusiwa kuingia nchini Uingereza . Ighalo mwenye umri wa miaka …
Continue reading “Homa ya korona yamkosesha Odion Ighalo mazoezi”