Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda imepigwa faini ya Rwf300,000

Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda imepigwa faini ya Rwf300,000 na kufungiwa kutoshiriki mchezo wowote wa kirafiki kwa muda wa miezi 12 yaani mwaka mmoja • Adhabu hii imetolewa na chama cha soka nchini Rwanda FA baada ya klabu hiyo kutangaza kutoshiriki michuano ya Ubutwari Cup ikiwa imesalia siku moja pekee kabla ya michuano hiyo …

Kamata Ratiba Ya Soka Leo

: 👉England – Premier League 17:00 Sheffield United vs AFC Bournemouth 19:30 Manchester City vs West Ham United : 👉England – Championship 16:30 Millwall vs West Bromwich Albion : 👉Spain – LaLiga Santander 14:00 RCD Espanyol vs Mallorca 16:00 Real Sociedad vs Athletic Bilbao 18:00 Osasuna vs Real Madrid 20:30 Celta Vigo vs Sevilla 23:00 …

Dondoo za michezo na Dominick Salamba ⛹

. 💥Diamond Platnumz awatolea uvivu mashabiki wa simba,awaambia waache lawama za hovyo,hakuna timu inayoweza kushinda kila mechi,kufungwa ni sehemu ya mchezo…. . 💥Yanga,Azam zapata ushindi ligi kuu,zaendelea kujiimarisha,Masau Bwire kelele zimekata mjini…. . 💥Ronaldo anatupia tu huko Serie A,amefunga jana na kumfanya awe amefunga kwenye mechi ya kumi mfululizo huku wakipokea kipigo cha 2-1 ….. …

#Cr7Updates – Mechi 10 za mwisho alizocheza Cristiano Ronaldo Serie

# Cr7Updates – Mechi 10 za mwisho alizocheza Cristiano Ronaldo Serie A _ 🆚 Sassuolo ⚽️ . 🆚 Lazio ⚽️ . 🆚 Udinese ⚽️⚽️ 🆚 Sampdoria ⚽️ 🆚 Cagliari ⚽️⚽️⚽️🅰 🆚 Roma ⚽️ 🆚 Parma ⚽️⚽️ 🆚 Napoli ⚽️ 🆚 Fiorentina ⚽️⚽️ 🆚 Hellas Verona ⚽️ _ #bakinasisi__ #NjooKwetu #TupoNawePaleUlipo

Mambo 10 nilioyaona Ruvu Shooting Vs Yanga

1: Ditram Nchimbi🙌 Mchezaji wa kisasa katika mwili wa winga hatari wa kizamani. Nguvu, kasi, pasi ya moto👏 Huyu ndie Nchimbi aliyempa ufalme Salim Aiyee kule Mwadui 2: Mayanga alichagua kuanza na 4-1-3-2. Ilikua plan nzuri mpaka pale Gharam Naftal alipokata upepo. Alipochoka kutembea kwenye space kati ya Tshishimbi na Haruna, mzigo ukawaelemea mabeki. Kama …

Kamata Matokeo Ya Soka Jana Barani Afrika

: 👉VodacomPrimierLeague FT Ndanda SC 0-0 Namungo FC FT Kagera Sugar 0-0 Biashara United FT Mtibwa Sugar 0-1 Lipuli FC FT Ruvu Shooting 0-1 Yanga SC FT TZ Prisons 0-1 Mbeya City FT Alliance FC 1-1 Mbao FC FT Coastal Union 2-0 Polisi Tanzania FT Azam FC 3-1 KMC Fc FT Singida United 2-2 Mwadui …

Kamata Matokeo Ya Soka Jana Barani Ulaya

: 👉England – Premier League FT Everton 3 – 1 Crystal Palace FT Brighton & Hove Albion 1 – 1 Watford : 👉England – Championship FT Wigan Athletic 1 – 2 Preston North End FT Barnsley 1 – 1 Sheffield Wednesday FT Blackburn Rovers 0 – 1 Fulham FT Brentford 3 – 2 Middlesbrough FT …

Design a site like this with WordPress.com
Get started