UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa wanahitaji pointi tatu za Polisi Tanzania kwenye mchezo utakaochezwa Jumanne, Februari 11,2020, Uwanja wa Uhuru. Azam FC jana imeshinda mabao 3-1 mbele ya KMC inafikisha jumla ya pointi 41 ikiwa nafasi ya pili. Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffary Maganga, amesema kuwa kila kitu kipo …
Continue reading “AZAM FC YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA POLISI TANZANIA”