Mchezaji huyo wa zamani wa Liverpool mwenye miaka 29 amewasili nchini Uturuki ili kukamilisha usajili wake katika klabu hiyo ikiwa ni baada ya kuachiwa huru na Liverpool

Liverpool ilimuachia huru katika kipindi cha majira ya joto cha usajili mwaka huu, ikiwa ni baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa miaka 6 na kufunga magoli 67 katika michezo 160

Mshambuliaji huyo wa zamani wa timu ya Taifa ya England alianza kucheza soka la kulipwa katika timu ya Manchester City na baadaye kujiunga Chelsea mwaka 2009

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started