: Zahera amesema hana wasiwasina zesco united

Kocha mkuu wa Yanga SC Mwinyi zahera amesema wanajiandaa vyema na mchezo wa klabu bingwa Afrika dhidi ya Zesco united ya zambia.
:
Zahera amesema kuwa hana wasiwasi kuhusu mchezo huo kwakua anaamini timu yake inaweza kuifunga zesco united .
:
Akizungumza na Azam Tv zahera amesema kuwa wao kama timu watajiandaa vyema ila kikubwa mashabiki wa Yanga SC kuja uwanjani kuwapa sapoti ili wafanye vyema.
:
Zahera anasema kama simba aliwafunga Vita nkana katika uwanja wa taifa iweje yanga ishindwe kufanya hivyo? basi anaamini kuwa yanga yake haitawaacha salama zesco united.
:
Mchezo huo utapigwa tarehe 14 mwezi wa 9 katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es laam majira ya saa kumi jioni kwa saa za Afrika mashariki na kati.

#SokaPlaceUpdates

Mtibwa yatoa wachezaji saba timu ya taifa U20

Wachezaji saba (7) wa kikosi cha Mtibwa Sugar wamechaguliwa kuunda timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20.

Wachezaji waliochaguliwa ni Kibwana Ally Shomary, Dickson Nickson Job, Frank George Kahole, Onesmo Mayaya, Mohamed Abdallah Rashid, Abubakary Salum Juma na Razack Shekimweli .

Kikosi hicho kimeitwa kwa ajili ya maandalizi ya CECAFA 2019 Uganda.

Hongera sana uongozi wa @mtibwaofficial kwa kuzalisha KO vipaji nchini Tanzania .

RATIBA YA SOKA LEO JUMAMOSI

#EnglandPremierLeague
14:30 Southampton vs Manchester United
17:00 Chelsea vs Sheffield United
17:00 Crystal Palace vs Aston Villa
17:00 Leicester City vs AFC Bournemouth
17:00 Manchester City vs Brighton & Hove Albion
17:00 Newcastle United vs Watford
17:00 West Ham United vs Norwich City
19:30 Burnley vs Liverpool
:
#SpainLaLigaSantander
18:00 Osasuna vs Barcelona
20:00 Getafe vs Deportivo Alaves
20:00 Levante vs Real Valladolid
22:00 Real Betis vs Leganes
:
#ItalySerieA
19:00 Milan vs Brescia
21:45 Juventus vs Napoli
:
#GermanyBundesliga
16:30 Bayer Leverkusen vs Hoffenheim
16:30 FC Bayern München vs Mainz 05
16:30 Schalke 04 vs Hertha BSC
16:30 Freiburg vs 1. FC Köln
16:30 Wolfsburg vs SC Paderborn 07
19:30 1. FC Union Berlin vs Borussia Dortmund
:
#FranceLigue1
18:30 Lyon vs Bordeaux
21:00 Angers vs Dijon
21:00 Nantes vs Montpellier
21:00 Toulouse vs Amiens
21:00 Nimes vs Brest
:
#NetherlandsEredivisie
19:30 SC Heerenveen vs Fortuna Sittard
20:45 FC Groningen vs Heracles
21:45 ADO Den Haag vs VVV-Venlo
:
#BelgiumFirstDivisionA
19:00 Eupen vs St.Truiden
21:00 Kortrijk vs Oostende
21:30 Waasland-Beveren vs Sporting Charleroi
:
#AlgeriaLigue.1
22:30 CA Bordj Bou Arreridj vs ES Setif
22:30 MC Oran vs CS Constantine
22:30 Paradou AC vs JS Kabylie
23:00 JS Saoura vs MC Alger
23:00 NA Hussein Dey vs CR Belouizdad
:

MATOKEO MICHEZO YA JANA IJUMAA

#SpainLaLigaSantander
FT Sevilla 1 – 1 Celta Vigo
FT Athletic Bilbao 2 – 0 Real Sociedad
:
#ItalySerieA
FT Bologna 1 – 0 SPAL
:
#GermanyBundesliga
FT Borussia Mönchengladbach 1 – 3 RasenBallsport Leipzig
:
#FranceLigue1
FT Metz 0 – 2 Paris Saint-Germain
:
#AlgeriaLigue1
FT NC Magra 2 – 1 USM Bel Abbes
FT US Biskra 1 – 0 ASO Chlef
:
#EgyptCup
FT Pyramids FC 2 – 0 El Hodood
:
#KenyaPremierLeague
FT Kariobangi Sharks 2 – 2 Western Stima FT Sofapaka 1 – 2 Posta Rangers
:
Prepared by @officialchristz
Powered by @bikotanzania

Misri yatangaza kocha mpya wa timu ya taifa

OFFICIAL | Shirikisho la Soka Nchini Misri, @efa.eg limemtangaza Legendary, Hassan Shehata Kuwa Kocha Mkuu Mpya Lakini Ni kwa Mara ya Pili anarejea kuinoa timu yao ya taifa @pharaohsofficial… Mkongwe huyo wa El Zamalek amechukua Mikoba ya Javier Aguirre Raia wa Mexico aliyetimuliwa Baada Kufanya vibaya AFCON!.
.
– Mara ya Mwisho kwa Hassan Shehata Ambaye Sasa ana umri wa Miaka 72, kuinoa timu yao ya taifa ya Misri, aliiiwezesha Pharaohs kutwaa Ubingwa wa Afrika (AFCON) Mara tatu mfululizo, 2006, 2008 na 2010.
#TransferNewsUpdate
@Sokawaytz

RATIBA YA SOKA HII LEO IJUMAA

!.
England – Championship
21:45 Cardiff City
Fulham
.
– Spain – LaLiga Santander
21:00 Sevilla
Celta Vigo
23:00 Athletic Bilbao
Real Sociedad
.
– Italy – Serie A
21:45 Bologna
SPAL
.
– Germany – Bundesliga
21:30 Borussia Mönchengladbach
RasenBallsport Leipzig
.
– France – Ligue 1
21:45 Metz
Paris Saint-Germain
.
– Belgium – First Division A
21:30 KV Mechelen
Royal Excel Mouscron
.
– Algeria – Ligue 1
22:00 NC Magra
USM Bel Abbes
22:00 US Biskra
ASO Chlef
.
– Egypt – Cup
21:00 Pyramids FC
El Hodood
.
– Kenya – Premier League
15:00 Kariobangi Sharks
Western Stima
15:00 Sofapaka
Posta Rangers
#Updates #fixtures
@Sokawaytz

Design a site like this with WordPress.com
Get started